Matemu.Emmanuel
Member
- Nov 27, 2012
- 5
- 0
Msichana mmoja alimpeleka mchumba kwao kwa utambulisho: Alpofka 2 baba yake akaona kasoro maana kijana alikuwa mweuc tii. Anamatege makali, namakengeza ya maana. Mwanaume alipoona sura ya baba mkwe imebadi lika, akatabasam: Kidogo, la haula! Alikuwa na mapengo hanameno yote ya mbele. Baba akamwita bint mwanangu hebu njoo nje tuongee bint akamjibu baba sema2 hapahapa mchumba wangu mwenyewe kiziw..baba alibaki hoi ingekuwa ni wewe ungefanyaje?