Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,439
hukarogwa wala nini
oa hiyo mijimama iliyokubemenda tu.
Emu njoo nikujaribu nione yaliyomo kama yamo
Comments za wadau zitakuroga zaidi.
Hao mabinti unashindwa kuelewana nao coz umeshazoea majimama. Mtatuzi wa hili tatizo lako ni wewe mwenyewe, jitafakari kisha badilika kifikra kwanza.
Nadhani mkuu una nyota ya Rais Macron wa Ufaransa.
Lipia tangazo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushazoea vya kunyonga mkuu vya kuchinja hutoviweza.