Wewe uliyeniroga nisamehe nioe sasa

Wewe uliyeniroga nisamehe nioe sasa

Saikologia yako umeivuruga na kurndelea kuivuruga kwa iman yako na mtazamo wako
Ila hujachelewa wape muda hao mabint wasikilize na ukubali madhsifu yao kulingana na umri wso kama ulivyokubali udhaifu wa majimama yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu unalala bure, unakula bure, unavalishwa bure, hata kugegeda Nina hofu hayo ma jimama ndo yanajisevia, leo usingizie shetani na wachawi. Maskini mama yako.
 
Asante fikira najitahidi kuziweka kwenye mstari ikiwepo na kujiambia hasara za kuwa na wamama ila ni kama kunakitu chenye nguvu kuzidi maamuzi yangu yaani najikuta nashindwa tu
Hao mabinti unashindwa kuelewana nao coz umeshazoea majimama. Mtatuzi wa hili tatizo lako ni wewe mwenyewe, jitafakari kisha badilika kifikra kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom