kitororondo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 597
- 710
- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri fatherkitororondo,
Kwanza nakupa pole ktk harakati zako. Na jengine nakushauri ufanye maamuzi mazito ya Kuoa hao wanawake walio kuzidi kiumri japo pengine Umri wako umeshakwenda. Hujarogwa na mtu yoyote ila ww mwenyew na nafsi yako umejiamulia ktk njia hio. "Nyumba uliojenga na matofali yaliokunjika Ni sawa na kujichimbia kuburi la mwisho wa uhayi wako."
Mtizamo Wa Kifikra Hua Ni Uchawi Tosha Na Unawasumbua Wengi...
Hapo ulipomtishia “uhayi” ataogopa sana. Huyu ni mnyama gani mkuu?.kitororondo,
Kwanza nakupa pole ktk harakati zako. Na jengine nakushauri ufanye maamuzi mazito ya Kuoa hao wanawake walio kuzidi kiumri japo pengine Umri wako umeshakwenda. Hujarogwa na mtu yoyote ila ww mwenyew na nafsi yako umejiamulia ktk njia hio. "Nyumba uliojenga na matofali yaliokunjika Ni sawa na kujichimbia kuburi la mwisho wa uhayi wako."
Emu njoo nikujaribu nione yaliyomo kama yamo
Kwahiyo ukiwa na hao wamama unapata cha kudiscuss?
Saikologia yako umeivuruga na kurndelea kuivuruga kwa iman yako na mtazamo wako
Ila hujachelewa wape muda hao mabint wasikilize na ukubali madhsifu yao kulingana na umri wso kama ulivyokubali udhaifu wa majimama yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu unalala bure, unakula bure, unavalishwa bure, hata kugegeda Nina hofu hayo ma jimama ndo yanajisevia, leo usingizie shetani na wachawi. Maskini mama yako.
Haya ndiyo madhara ya Fanani kuzoea hadhira wa aina moja.
Ukizoea mapenzi na maji-mama a.k.a maji-shangazi; yana asili ya ku- occupy space na ku- conquer mind sets za kimapenzi.
Hapo utajikuta hata kwenye chaguzi la mke first priority unampa jimama!
Usiniulizie kilichonitoa huko.
Jibadili mwenyewe, piga sarakasi angani ujirekebishe Psychologically. Uta-enjoy mahusiano yeyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usitafute jimama ukalioa mkuu? Fanya kitu roho inapenda, utaoa kasichana kadogo ukasumbue bure maana hutaachana na mijimama.
Sasa huoni Kama hao ndo wife material according na ulivyoelezea? Nini kinakufanya ushindwe kupata mmojawapo wa kuoa?Vingi sana na ukipanga mipango inatimia wanajua kutoa mwongozo ambao huleta matokeo bora na huwa nahisi wanakuwa wanaona mbali kuliko mimi mathalani akikwambia hapa usiweke fedha yako utapata hasara ukijitia ujuaji mwisho unakumbana na bonge la hasara hadi aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huoni Kama hao ndo wife material according na ulivyoelezea? Nini kinakufanya ushindwe kupata mmojawapo wa kuoa?