Wewe uliyeniroga nisamehe nioe sasa

Wewe uliyeniroga nisamehe nioe sasa

kitororondo,
Unaishi kwaajili ya watu utapata shida sana. Kuzaa utazaa nje huko..kikubwa uwe na mke mnayeelewana
 
Wee unanitakia kifo wanawivu hao kwanza hayo maneno unayoahidiwa kufanyiwa siku akigundua unamchepuko mbona balaa .... na huwezi kuzaa nje ya ndoa bila mchepuko
Unaishi kwaajili ya watu utapata shida sana. Kuzaa utazaa nje huko..kikubwa uwe na mke mnayeelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee unanitakia kifo wanawivu hao kwanza hayo maneno unayoahidiwa kufanyiwa siku akigundua unamchepuko mbona balaa .... na huwezi kuzaa nje ya ndoa bila mchepuko

Sent using Jamii Forums mobile app
Jimama lenye watoto na ambae yeye hana uwezo wa kukupatia watoto hawezi kukukataza ukajipatia mtoto kwingine. Atakuwa na matatizo ya akili
 
Mnh! Hapana kwa kweli sitaki iwe ivyo na ndio maana nataka nitoke nilipokwama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujarogwa,umeizowesha akili yako mambo yanayokuzidi umri Sasa upo kati it najiona mtoto na unataka uwe na watoto lakini huwezi utoto.
Pili upo unashindana na mapokeo/mazowea kuwa lazima mwanaume aoe mke wanaelingana au awe mkubwa zaidi ya mke.
Ushauri:
Hivi vitabia siyo vibaya sana ila tunajifunziaga utotoni,Sasa sijui Kama utaweza kujichomoaje?
Mshirikishe Mungu.
 
Back
Top Bottom