Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
- Thread starter
- #61
We umemchanganyia namba ndio maana hajakuelewa 😂Mkuu uzi wako nimeusoma. Najaribu kuweka sana Joanah anielewe mtoto mzuri huyu.
We umemchanganyia namba ndio maana hajakuelewa 😂Mkuu uzi wako nimeusoma. Najaribu kuweka sana Joanah anielewe mtoto mzuri huyu.
Acha kabisa ni vita mbaya sana.Hiki kizazi Cha siku za mwisho ukiwa Mzee na huna pesa ni rahisi mke kuungana na watoto kukunyanyasa
Ila watu kama wewe huku jf mnakuwa tofauti na uhalisia.Nikija kuwa na watoto baba yao akizingua nitachagua upumbavu tu hakuna namna
Sishuhudii uongo nduguUsishuhudie uongo ndugu.
Ikiwa hushuhudii uongo umewahi kukutana na mimi wapi na kunishuhudia kuwa ni mwanamke?Sishuhudii uongo ndugu
Ngoja niachie seatIkiwa hushuhudii uongo umewahi kukutana na mimi wapi na kunishuhudia kuwa ni mwanamke?
Na unapoachia seat usiache pia kueneza uongo, uongo ni dhambi mbaya.Ngoja niachie seat
Unaweza ukantajia dhambi nzuri? Na kwanini unaziona nzuri?Na unapoachia seat usiache pia kueneza uongo, uongo ni dhambi mbaya.
Uko kambi ya fisi weweNikija kuwa na watoto baba yao akizingua nitachagua upumbavu tu hakuna namna
Kufichua siri ya mtu anayejifanya kuwa ni mwanaume ilhali wewe unamjua sio mwanaume, hiyo ni dhambi nzuri maana unamuumbua muongo.Unaweza ukantajia dhambi nzuri? Na kwanini unaziona nzuri?
Watoto hukua na maneno ya kiambiwa hukoma. Wanaume fanyeni sehemu yenu kama baba, mtazamo waachie watoto, kama mama ataamua kupindisha upepo, usishindane...maana hapa chini Hautashinda... Ila baadae sn watakuelewa tu.Unaweza kutimiza majukumu yako ila mkeo anao uwezo wa kuwafanya watoto wakudharau ama wakugeshimu.
Tambua huu ukweli.
Mwanaume mwenye hekima huwa hashindani na mwanamkekama mama ataamua kupindisha upepo, usishindane...maana hapa chini Hautashinda... Ila baadae sn watakuelewa tu.
Ni kweli kabisaJibu la upole na hekima huutuliza moyo asante
Unaelewa maana ya childhood traumas? Na jinsi zinavyo waathiri ukubwani?Nikija kuwa na watoto baba yao akizingua nitachagua upumbavu tu hakuna namna
Mkuu hakuna hyo justification ya kufanya hvyo,maana anaye athirika zaidi kisakolojia ukubwani ni huyo mtoto ambaye utakuwa umemjaza maneno ya hovyo.. jifunzeni maana ya childhood traumas.Hiyo namba moja mara nyingi mpaka kuwe na sababu.