Wewe ni mwanamke wa aina gani?

Wewe ni mwanamke wa aina gani?

Watoto wasipomuheshimu Baba Wanapata laana Joanah kwahivyo kama unawapenda huwezi wafundisha hiyo tabia.
Na laana ni mateso watakayopata Kwa kutomheshimu Baba Yao.Haya mateso yataendelea mpaka kwa wajukuu wako na vizazi vyao na vijavyo.
 
Unadhani wewe peke yako ndo unachagua option 2. Zaidi ya 75perc chaguo lao kama lako mtoto mzuri.
Sasa chaguo namba mbili wapi?
Kama ni kwenye uzi nimechagua namba moja,sio mbili...ambalo sio kifo

Usituchanganyie mambo mkuu,uzi haujaongelea kifo ila wewe ndio umeleta hizo mambo
 
Sasa chaguo namba mbili wapi?
Kama ni kwenye uzi nimechagua namba moja,sio mbili...ambalo sio kifo

Usituchanganyie mambo mkuu,uzi haujaongelea kifo ila wewe ndio umeleta hizo mambo
Nimetkosea ni option namba 1. Katika hii option ndo unawafanya watoto wamdharau baba Yako. Hivyo hata kumuombea mabaya ipo included hapa. Video na mabaya yote maana upendo hamna tena. Kwenye reseach Kuna assumption huwezi kupeleka questionares Kwa sample ya mil 40 ya wanawake. Hivyo idadi Yako wapo wengi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom