kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Mchepuko ni hisani???? hujui kuwa mwanaume hunyenyekea kwa mchepuko kuliko nyumba kubwa. Acha kabisa hayo maneno, mchepuko ni malkia, kwa hyo hauombi unapewa.
michepuko inajua sehemu zote za starehe, nyumba kubwa yake kumbi za sherehe
Michepuko inajua mapozi ya private car, nyumba kubwa zake daladala
Michepuko inazujua shopping mall, nyumba kubwa kwake kariakoo.
Nimekusaidia tu maelezo kidogoooo.
Anakupigia anakuwa kakumiss!anapekuwa cm ili ajue kama kuna mchepuko mwingine zaidi yake!
Michepuko mingine kama utendaji ni bomba huweza kupewa bonge la promotion na kuwa nyumba kubwa, hili si jambo la ajabu.
tatizo wanaume mmeshashindwa kuwa wakweli sasa kama unajua unanitongoz niwe mchepuko kwann usiniambie mapema unasubir penz limenoga ndo unaanza visa, aseee yani nikigundua umenifany mchepuko wakati uliniambia mimi njia kuuu nahakikisha nimekuvulugia iyo njia kuu yako ili tuumie wote.
Mmh...!
unaguna nn? Msg imefika nn?
tatizo wanaume mmeshashindwa kuwa wakweli sasa kama unajua unanitongoz niwe mchepuko kwann usiniambie mapema unasubir penz limenoga ndo unaanza visa, aseee yani nikigundua umenifany mchepuko wakati uliniambia mimi njia kuuu nahakikisha nimekuvulugia iyo njia kuu yako ili tuumie wote.
utatulia tu. namm nahakikisha huvurugi ila utalia kidogo na utakubali matokeo tu. Hivi unafikir kaz rahisi kunivurugia ndoa?
Ukiniletea vurugu zaidi nyumban utakumbana na vitasa
Je, ni sahihi mchepuko kumfuatilia sana kwa wivu mtu ana njia kuu yake? Kumpigia simu usiku wa manane? Kupekua inbox za simu kwa nini?
Si sahihi kabasa, lakin kawaida kama mtu mnazoeana ni rahisi kujua sim anazopigiwa na mkewe, na si ruhusa kabisa kupiga sim akiwa nyumbani kwake hadi akupige yeye, na unapiga sim ya nin wakati kwa kawaida huwa anakuacha huna shida hadi awe kwake anakuwa amemaliza matatizo yako kwa siku hiyo.
Wanasema ukitaka kula na kipofu, usimshike mkono.