mr.kayembele
Senior Member
- Nov 9, 2012
- 118
- 58
- Thread starter
- #21
Nlifanya field ya kwanza kwenye taasisi Moja baada ya ule mda kwisha nliendelea na majukumu, mkuu wa ile taasisi akanambia utapata chochote siku unarudi chuo, mwisho wa siku hakunipa chochote akanambia ukitaka malipo mwaka wa pili urudi hapa na wenzako wawili au watatu!
Pia alinambia niandike barua za malipo nikatii maagizo lkn wapi .....
Mwaka wa pili nlienda halmashaur X majukumu nliyokua napewa mambo hayakua ya IT kbs hata kidogo yaan kila siku ni kupanga na kupangua mafaili nkafanya maarifa nkapata muhuri na assessment ikafanyika nkasepa pale nkaenda taasis Moja kujitolea huko aiseee nusu nife njaa,ndo nkaona bora nkajitose mtaani
Pole sana kaka !




ndo nkaona bora nkajitose mtaani

Issue ni kuaminika kaka kujenga Imani hadi watu wakuamini inachukua mda sana, naongea kwa uzoefu!