donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Tuweze kufahamiana taaluma zetu!
PhD in Common Sense, MBA in hustling, Master's in Ass Kicking, and a Bachelor's in flipping dough.
Jamani nimemaanisha kama umesoma ngazi ya shahada, je umesomea fani gani?
Kuna kazi unataka kutupa !!
Kwani ni wazo baya kujua taaluma za wana jf mbali mbali humu ndani?
What next?
Mkuu JF ni ya wote waliosoma na wasiosoma,swali lako la ubaguzi haujawaona wasio na degree kwenye nyuzi za tcu? Mie nina shahada ya uzamili katika uzamivu.
Samahani mkuu,
Niwie radhi kwa maana hakika kusudi langu halikua ubaguzi bali nilitaka tu kujua taaluma za wanaJF mbal mbal. Niwie radhi!