Wewe mkata tiketi Azam Fast Feries

Wewe mkata tiketi Azam Fast Feries

Cha kushangaza sasa Boss wao na aliyemweka hapo huyo ( huyu ) Popoma ni Muungwana, Mnyenyekevu na Mkarimu hakuna mfano halafu Kwake hana Msamiati wa Roho Mbaya na Uchoyo.
jana namwambia mama yangu.twende mim naijua hii ni muda nilipanda nzuri.tena anaye zi manage ni kijana saf kabisa mtu wa dini.
ushauri.
afumue customer care yote a train vijana na ikibid aweke watoto wa kike iwe kama emporwement
 
Customer care inahitaji mtu mwenye nidhamu na maadili mema,mwenye kuthamini watu na kuheshimu watu,mwenye kujua thamani ya mteja,tatizo la customer care kua wajeuri na kutokujali ni matokeo ya malezi tu,

Tabia njema na kuthamini watu hufundishwa toka utotoni,tuanzie chini kabisa kwenye malezi ya watoto wetu kama tunataka kutatua hili tatizo ambalo almost lipo kila sehemu.
 
Cha kushangaza sasa Boss wao na aliyemweka hapo huyo ( huyu ) Popoma ni Muungwana, Mnyenyekevu na Mkarimu hakuna mfano halafu Kwake hana Msamiati wa Roho Mbaya na Uchoyo.
matajiri unafikir wana hizo.hayo mambo tunaleta sisi maskin unakaa boss anajua unafanya kazi kumbe na wewe una ka empire kako unaona kama ndio wewe tajiri.sijui ma hr wa siku hiz wa hiz corporates wana somea nin
enzi zetu uhazili mim katibu mahsus uje ofisin hujavaa dress code utajuta.enzi zetu darasa la 12 kichwa changu ni kama degree
 
Mkuu ilo buti la jeje limesimama sana.

Okay boat zao kali ao Zan? Wana madaraja mangapi?
hayo maelezo ndio alitakiw anipe.tumekwenda tuna hela zetu tunataka seat ukikaa umekaa uenjoy.unajua znz hata kama unaenda kwa shida ingine tu ila the whole trip si some sort of tourism.sasa hospitality inaanza kuwa mbovu hapa hapa,
USHAURI:
idara ya utalii, TTB na smz angalien namna ya kutoa mafunzo na vyeti kwa all agencies zinazokuwa na first counter ya mgeni.wa ndan au wa nje.
utalii wa ndan ni sisi pia.
tuwape mafunzo hela ya semina watatoa hao hao makampun sisi tupeleke wataalam wakawape training
 
Ungetafuta namba zake umpe makavu live. Pia ungeweza kutafiti kama tabia yake ya kila wakati au hiyo siku hakuwa sawa. Siku hazilingani. Kumsimanga humu jf, ni kama kumpikia majungu au kumfanyia fitna ilihali kijana anatafuta riziki yake
Huo ndio tunaita kuleta usharobaro kazini! Kwahiyo kama umekwazika nyumbani ndio uje kuleta masikitiko kazini! Kwanini asiombe ruhusa akamalizie stress nyumbani baadala ya ofisini? Huenda wewe ni muajiriwa ila kama umejiajiri una biashara na una hiyo mentality jirekebishe sister.
 
Ungetafuta namba zake umpe makavu live. Pia ungeweza kutafiti kama tabia yake ya kila wakati au hiyo siku hakuwa sawa. Siku hazilingani. Kumsimanga humu jf, ni kama kumpikia majungu au kumfanyia fitna ilihali kijana anatafuta riziki yake
hatukatai.siku hazilingan
kama ulikua haupo sawa.omba ruhusa mwambie boss leo not okay usi wan engage wateja kumbe tayari una hormonal imbalance zako.usilete persona issues zako kazin.no that's is not okay. unaruhusika kuomba three days leave utakagwa kweny likizo yako omba nende nyumban.
 
Ungetafuta namba zake umpe makavu live. Pia ungeweza kutafiti kama tabia yake ya kila wakati au hiyo siku hakuwa sawa. Siku hazilingani. Kumsimanga humu jf, ni kama kumpikia majungu au kumfanyia fitna ilihali kijana anatafuta riziki yake
kwa hio tunawajubika kila mahala kutafiti ? wewe uliomba customer care bas fanya kaz yako.home isuees acha home
 
Dah kweli yule shombe shombe anazingua sana
 
nafikir amekariri kila anayeenda pale ni mmuunguja akifika anatoa 30000 anapewa daraja la kawaida.kumbe kuna wateja wanataka kwemda ku enjoy zanzibar anataka apate daraja vip.yeye kwanza hatoi sauti unamuuliza mpaka unafanya jitihada kuchungulia kwenye kadirisha umsikie sauti punbav kabisa
Mpige pumbuh tu
 
nilikuwa najitahid kumuuliza daraja lipi zuri mama yangu alikuw kishakasirika ikabid tutoke tunaondoka wala hawatuuliz abiria mbona mnaondoka.kwanza hatoi sauti hakuna kitu kinakera hujibu wakat kazi iliyokuweka inakuhitaj utoe sauti.
tulitoka
View attachment 2255072
Zanzibar Ina maajabu yake, unaweza kukuta alikua kwny siku zake ndio maana hakua na mood(pamoja na Kwamba Ni mwanaume).
 
Wana madaraja manne

Silver & Silver plus 30,000
Gold 50,000
Platinum 60,000
VIP 350,000
Mkuu. VIP 350,000 kuna swimming au? Hahahaha dah bei ya ndege.

Unaweza kutugusia gusia vilivyomo VIP?
 
Back
Top Bottom