Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 4,406
- 3,333
Kumradhi ila jisi heading ilivyokaa nilijua mada imeandaliwa na 'mmahe"🤣🤣🤣🤣
Hii ni kweli, sijasikia, usitake nichinje mbuzi bure? Kuna vitu vingine havitaki mzaa. source plse!
😂😂😂😂View attachment 3413247
Kwishhhaaaaaaaa
Kangi Lugola yuko wapi awakatikie hao UWTKama hii ndio single touch double manifestation basi tumekoma.. Hatutaonja sumu tena! Wala hatulambi wembe tena
Wengine tunashikana mashati.. Wengine tunaserebuka
Your browser is not able to display this video.
😂😂😂...Tanzania hii? Mtu anaiba bilioni 20 halafu anakuambia Jamani nchi yetu ya amani hatuna mahala pengine pa kukimbiliaKuna haja Sasa ili uruhusiwe kufanya siasa Tanzania lazima uwe walau naa degree moja kutoka taasisi ya elimu ya juu inayotambulika.
Juu ya hapo uwe na IQ zaidi ya 130.
Kama hauna hivyo vigezo hapo juu, basi uwe na utajiri usiopungua Bilioni 20 kutoka kwenye biashara zinazotambulika kitaifa na kimataifa sio ule utajiri wa tunguli na kufuga fisi.
Siasa ndio zinaamua maisha ya watu, ni hatari sana kuruhusu wajinga kufanya siasa.
ndani ya mitaa ya Damascus - Syria.
BaaaaaaaaaaaasiView attachment 3413247
Kwishhhaaaaaaaa