Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Kujipodoa hoyeeee!!

Tujipodoe wapendwa, hii dunia tunapita tu. Ukipata nafasi na hela ya kujipodoa jipodoe upodoke.
 
Wanaume wakimuona mwanamke kajipodoa sana waanakwepa kumuoa ili kuepuka mzigo wa gharama za kununua vipodozi.
Siyo kuepuka mzigo wa gharama, bali ni kuepuka uhuni..
KE anayejipodoa kupitiliza na umalaya ni kama kidole na kucha, vinaendana!
 
Ila mleta mada Kama una wivu na Ke!kwa vile we ukijipodoa wanakunanga
 
Back
Top Bottom