Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Yote tisa mi mawigi hapana kwa kweli mengi ni machafu labda Yale ya Bei mbaya.

Kun Yale makubwa manywele yanakuwa makubwa halafu kichwa kidogo sijui mtu analalaje
😂😂😂😂
 
Yote tisa mi mawigi hapana kwa kweli mengi ni machafu labda Yale ya Bei mbaya.

Kun Yale makubwa manywele yanakuwa makubwa halafu kichwa kidogo sijui mtu analalaje
Hahah sasa ukute hilo wigi kalivalia juu ya nywele alisukaga ile wenyewe wanaita twende kilioni,hiyo harufu inayotoka hapo nakwambia utajuta kumsogelea.

Wakati wa kulala huwa wanayatundika hawalali nayo labda kama danga jipya.
 
Kuna Mwanamke Nmekutana Nae Leo Hospital(Ni Nesi),Ukimuangalia Alivyojipodoa Yaan ZUWENA Huyu Hapa...

Halafu Alitaka Kunihudumia,Nkakataa..
Loh,Nkamuonea Huruma Bwana Ake..

Kuna Wanaume Tuna Roho Ngumu Sana.
Kwanini umnyanyapae hivyo kwani angekuhudumia kulikua na tatizo gan
 
Wanawake wanao-deal sana na vipodozi ni wa hit and run [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom