Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Wewe endelea kujipodoa sana uone kama utaolewa

Je aliyesuka katani kiufupi Mwanamke anayesuka katani na anayesuka nywele bandia hawafai wote
 
KumbešŸ˜‚šŸ˜‚maana unakuta mtu kichwa kidogo kama nyoka kwa sababu manywele makubwa na wale weny vichwa vikubwa wanakuwa kama Simba dume ...

Hapana hayo madude ni uchafu kwa wanwake kabisa
🤣🤣
 
Unakuta wengi wao wanajipodoa Kwa nje tu Ili kujionyesha na wanasahau kujipodoa Kwa Ndani.
Usafi wa mbususu hawazingatii kabisa,ukiwa nae ndani hata hamu yote inapotea...Kujipodoa sio mbaya ila basi iwe kote kote ..
 
Back
Top Bottom