Hii ngoma mpya ya weusi GERE ni balaa tupu .flow kali ,beat kali ,kiukweli wamekuja kitofauti sana mara ya kwanza kuisikia nilishtuka kidogo lakini baada ya kuisikiliza tena nimewaelewa sana .weusi hawana mpinzani bongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.