Westlands vs Posta

Westy mbadadan
IMG_20181026_105024.jpeg
IMG_20181026_105046.jpeg
 
Buda westlands na upperhill bado sana kwa main CBD...juzi umepost over 20 towers za posta zinatoshana na westy...cbd itakuabisha bure
Sasa CBD yenu nani asieijua wewe unakazana kusema nyumba za flr 20 wakat Posta inakibao Za 30flr huoni unatafuta namna ya kukimbia
 
kusema ukweli west ilibidi ishindane na kariakoo na sio posta hii ni kesi ya ubakaji kabisa kwa posta kushindanishwa na westland oona sasa west picha zinarudiwa rudiwa tu
 
kusema ukweli west ilibidi ishindane na kariakoo na sio posta hii ni kesi ya ubakaji kabisa kwa posta kushindanishwa na westland oona sasa west picha zinarudiwa rudiwa tu
Wewe unajua westy ina hotels na malls nyingi kuliko posta?
 
kusema ukweli west ilibidi ishindane na kariakoo na sio posta hii ni kesi ya ubakaji kabisa kwa posta kushindanishwa na westland oona sasa west picha zinarudiwa rudiwa tu
kariakoo sasa ni nini tunataka business dustrict sio downtown
 
Unashangilia kama mazuzu wakati huko Westland hata kukaa haukai wapo Wazungu na Wahindi na wageni kama sisi wewe unakaa huko Mabanda!! Hebu tuletee picha cha kule Mabanda unakokaa kama itakuwa sawa na sehemu yoyote hapa TZ!
😂😂😂
 
Unashangilia kama mazuzu wakati huko Westland hata kukaa haukai wapo Wazungu na Wahindi na wageni kama sisi wewe unakaa huko Mabanda!! Hebu tuletee picha cha kule Mabanda unakokaa kama itakuwa sawa na sehemu yoyote hapa TZ!
Dahell are you talking about???
I lived in Westlands until last year.Indians live only in stand alone houses, which Westlands now only has in two areas and they are not anywhere in those pictures.Today, most housing in Westlands is Luxury apartments and Serviced apartments.For example, you can see One West Apartments in many of those pictures.
Rent was 150,000 Ksh
There were no Indians whatsoever. Most renters are Africans with a few Europeans. So No.|
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom