Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,506
- 2,453
- Thread starter
- #21
Udharimu wa ccm umefika mwisho
Mwaka huu lazima mkae ,harakati zetu zitaenea pande zote za duniaKeyboard warriors katika harakati zao.Ubabe wa mitandaoni.
Endelea kuota chunga tu usijinyee.Kelele za mitandaoni hazisaidii chochote.Mtarudiwa tu na akili.Mwaka huu lazima mkae ,harakati zetu zitaenea pande zote za dunia
No reforms no electionEndelea kuota chunga tu usijinyee.Kelele za mitandaoni hazisaidii chochote.Mtarudiwa tu na akili.
Hili ni swala la muda
Watanzania wewe waambie samata hajapewa pasi na mchezaji mwenzie huko sijui club gani, au kocha wa club gani sijui huko hajampanga samata...watafurika kama nzige Kwa matusi na maneno makali kwenye page za club husika mpk Dunia itasimama...ila sasa Kwa mambo ya ustawi wa nchi yao hautawaona..Wapenda haki popote mlipo tunapaswa kuperurusha #tag yetu ya free TAL kwa page za mitandao ya kijamii ya media kubwa duniani kama CNN, Aljazeera, BBC sio BBC swahili, Newyork times hii campaign isiwe na mwisho mpaka dunia nzima ijue yanayoendelea Tanganyika huku tukiwa na Quotation yetu pendwa ya No reforms no election, hakika campaign yetu itasikika duniani
Tunabidi watanzania tubadilike tuungane pamoja tupambane na huyu nduli CCMWatanzania wewe waambie samata hajapewa pasi na mchezaji mwenzie huko sijui club gani, au kocha wa club gani sijui huko hajampanga samata...watafurika kama nzige Kwa matusi na maneno makali kwenye page za club husika mpk Dunia itasimama...ila sasa Kwa mambo ya ustawi wa nchi yao hautawaona..