We’re threatened, says Zitto

We’re threatened, says Zitto

JPM Mkono wa chuma ni wale ambao huwa hawataki kukosolewa kamwe! Akisema ndio hivyo! Mfumo dume umemharibu anadhani na kuongozkuongoza nchi ni sawa na kuongoza boma lake! Kuna sheria na taratibu zake na busara tele! Ukikosa kimojawapo.....utapwaya tu
 
Ndiyo matatizo ya viti maalum Mkuu mara nyingi wanaoteuliwa kupitia viti hivi hawana sifa kabisa ya kuwepo mjengoni.

Exactly my point, these are the wabunges we got. SMFH!
 
Ndiyo matatizo ya viti maalum Mkuu mara nyingi wanaoteuliwa kupitia viti hivi hawana sifa kabisa ya kuwepo mjengoni.
Hivi, huu mpango wa viti maalumu kwa nini uliletwa? Anyways, tusije kuonekana hatutaki 50-50.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo matatizo ya viti maalum Mkuu mara nyingi wanaoteuliwa kupitia viti hivi hawana sifa kabisa ya kuwepo mjengoni. Na hata katika baadhi ya majimbo Wabunge wanaochaguliwa kwa kweli wanasikitisha sana pale wanapoanza kuchangia katika mijadala mbali mbali muhimu ndani ya Bunge.
 
The way how our members of commons argue it is better not to show it publicly due to the fact that they don't show the sense of maturity other than showing their faces and educational levels one has reached. Our parliament has lost its legitimacy and legality because people like the sugu etal are like people who are not wise
 
Kama sikosei kwenye rasimu ya Tume ya Warioba huu mpango wa viti maalum ulikuwa ufutwe lakini CCM wakachakachua. Basi hata kama ni viti maalumu chagueni watu ambao wana sifa ya kuwemo mjengoni hata wanapoamua kuchangia mijadala Bungeni Watanzania tunapiga makofi badala ya kushangaa huyu naye kivipi kachaguliwa kuingia Bungeni.

Hivi, huu mpango wa viti maalumu kwa nini uliletwa? Anyways, tusije kuonekana hatutaki 50-50.
 
Naona jamii forums imenunuliwa na mafisadi. Kila nikipost mawazo mazuri ya kuitetea serikali post inaondolewa fasta
 
....li serikali la kijinga,very primitive,eti yanataka kusifiwa tu hata yakikosea yasifiwe tu!,sijui tatizo ni IQ ndogo au vipi?!
 
Hivi kwa mini Tanzania watu hawampi support rais huyu peculiar kabisa ila tunambeza kiasi hiki mi nashangaa. Kila mtu anajua kupiga domo. Kwani watanzania mnataka nini? Mbona hamueleweki. Fanyeni kazi jamani acheni kupiga domo kila wakati. Sisi tumenyamaza tungeqeza kuishambulia chadema mana haina mwelekeo tena has a baada ya kuingiliwa na mafisadi. Ila tumemezea jamani acheni magufuli ana nia nzuri na nchi yetu ila mumsaidie tu akikosealakini siyo kumbeza. Pumbafu zenu!!!
 
Hivi kwa mini Tanzania watu hawampi support rais huyu peculiar kabisa ila tunambeza kiasi hiki mi nashangaa. Kila mtu anajua kupiga domo. Kwani watanzania mnataka nini? Mbona hamueleweki. Fanyeni kazi jamani acheni kupiga domo kila wakati. Sisi tumenyamaza tungeqeza kuishambulia chadema mana haina mwelekeo tena has a baada ya kuingiliwa na mafisadi. Ila tumemezea jamani acheni magufuli ana nia nzuri na nchi yetu ila mumsaidie tu akikosealakini siyo kumbeza. Pumbafu zenu!!!
Ccm oyeee
 
Naona jamii forums imenunuliwa na mafisadi. Kila nikipost mawazo mazuri ya kuitetea serikali post inaondolewa fasta
Usihukumu wenzako kuwa mafisadi, tutaaminije kama wewe si fisadi au unanufaika na ufisafi? Yawezekana unapost pumba au matusi ndio maana wanaondoa
 
Hivi kwa mini Tanzania watu hawampi support rais huyu peculiar kabisa ila tunambeza kiasi hiki mi nashangaa. Kila mtu anajua kupiga domo. Kwani watanzania mnataka nini? Mbona hamueleweki. Fanyeni kazi jamani acheni kupiga domo kila wakati. Sisi tumenyamaza tungeqeza kuishambulia chadema mana haina mwelekeo tena has a baada ya kuingiliwa na mafisadi. Ila tumemezea jamani acheni magufuli ana nia nzuri na nchi yetu ila mumsaidie tu akikosealakini siyo kumbeza. Pumbafu zenu!!!
....akili yako umeitupa asubuhi shimo la taka,ulisahau ukaichanganya na taka zingine!, hebu wahi kaiokote!
 
Naona jamii forums imenunuliwa na mafisadi. Kila nikipost mawazo mazuri ya kuitetea serikali post inaondolewa fasta
Kumbuka ni mawazo mazuri kwako lakini sio kwa forum , huu ni mtandao unaoendeshwa na kanuni na taratibu zake...serikali huwa haitetewi mitandaoni hasa na ID bandia , mojawapo ya kazi ya mitandao ya kijamii ni kuikosoa serikali kwa uwazi na ukweli kwakuwa hapo ndio penye sauti za wengi kusikika bila woga wala hofu ya kufuatiliwa
Hatupaswi kuisifu serikali ya sasa kwa lolote! Sifa zitakuja mwishoni sio sasa
 
zito..jpg


By Alawi Masare @AMasare malawi@tz.nationmedia.com


Dodoma. Members of Parliament are threatened when they criticise the government in the House, a lawmaker has said.

“Whenever we challenge the government here, we are being given letters and sometimes taken to the ethics committee. That is a threat to us and it diminishes our freedom of expression,” said Mr Zitto Kabwe (Kigoma Urban — ACT-Wazalendo).

He was contributing his views yesterday on the 2016/17 budget for the Ministry of Information, Culture, Arts and Sports.

However, Deputy Speaker Tulia Ackson responded that some MPs were taken to the Parliamentary Ethics Committee as a result of their conduct in the House and not because of what they said.

The shadow minister for Information, Culture, Arts and Sports, Mr Joseph Mbilinyi (Mbeya Urban —Chadema), accused the government of suppressing the media and curtailing the freedom of expression by banning live broadcasts of the august House sessions and for discriminative laws.

“When the government banned live broadcasts of parliamentary sessions, it claimed that it was too expensive as it spent Sh4 billion annually. Some private broadcasters like Azam TV were ready to do it. The Tanzania Media Fund volunteered to finance the live coverage but the government did not accept the offer. That clearly shows the government had other reasons other than what it claimed,” Mr Mbilinyi said while tabling the alternative budget speech.

“The current government purports to be implementing its slogan Hapa Kazi Tu (Work is What Matters Most) but actually what it does is to intimidate citizens and officials are gripped by fear,” he said.

Mr Mwita Waitara (Ukonga —Chadema) said even the promised recorded broadcasts are not aired at a convinient time.

“I have been following the recorded sessions. They go on air between 7 and 10pm. What kind of people watch the sessions at such late hours?”

In his budget speech, the minister for Information, Culture, Arts and Sports, Mr Nape Nnauye, requested Parliament to approve Sh20.3 billion for 2016/2017. Mr Nnauye said the ministry would continue strengthening the government’s communication systems and improve the performance of the Tanzania Broadcating Corporation (TBC) and the Tanzania Standard Newspapers Limited. “The government will supervise operations of media houses including completing the process of enacting the Media Service Act,” he said without explaining when exactly the law will become effective.

He said TBC radio would increase its reach to Kigoma, Mara, Ruvuma, Tanga, Arusha, Kilimanjaro and Lindi.

His speech was mum on the banning of live broadcasts of the National Assembly sessions and the tabling of the media Bill.

The Parliamentary Committee on Community Development was unhappy that the new budget was lower compared to Sh24.95 billion of 2015/16.

The committee said the government did not release any money for the development budget despite the fact that Parliament approved Sh3 billion. “We also advise the ministry to improve revenue collection as there is a huge potential for that,” said Mr Juma Nkamia (Chemba—CCM), a member of the committee who presented the committee report.

Mr Nkamia also advised the government to guarantee TBC so that it can borrow money for expansion.
Nilidhani ni TBC peke yake ndio iliamua kukataa kurusha bunge live sikujua serikali ilipiga marufuku media zote. Mimi ni shabiki wa serikali ya JPM lakini udiktator kamwe siwezi kusapoti.
 
Maguli is showing in reality that we have to exodus where we are but some people are struggling to make things not successful like the opposition parties. We must understand our president is so enthusiastic to make Tanzania shine anlmongst nations
 
Back
Top Bottom