Wenzetu wanaoenda Israeli kujifunza Kilimo wananatekelezea wapi kwa vitendo tukajifunze?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,917
Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo.

Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani.

Sasa jamaa zetu huwa wakirudi wanaingia Field moja kwa moja au tena hurudi kutafuta kazi? Kuna mmoja namjua aliendaga Israeli kwa misheni za Kilimo, ila nilikuja shangaa one day kumkuta tena kaajiriwa, sikutaka kumuuliza make ni maamuzi yake. Hawa jamaa wanaoenda Israeli ndio walipaswa kuwa Mashamba darasa ya sisi raia wengine kutembelea na kupata ABC za mapinduzi ya Kilimo.

Ila sijawahi bahatika kukutana na hata mmoja au kusikia fulani alieenda Israeli Shamba lake ndio lile pale.

Au wana practise kimya kimya na hawaki raia sisi tujue? Mwenye connection na Mashamba yao please.
 
Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo.

Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani.

Sasa jamaa zetu huwa wakirudi wanaingia Field moja kwa moja au tena hurudi kutafuta kazi? Kuna mmoja namjua aliendaga Israeli kwa misheni za Kilimo, ila nilikuja shangaa one day kumkuta tena kaajiriwa, sikutaka kumuuliza make ni maamuzi yake. Hawa jamaa wanaoenda Israeli ndio walipaswa kuwa Mashamba darasa ya sisi raia wengine kutembelea na kupata ABC za mapinduzi ya Kilimo.

Ila sijawahi bahatika kukutana na hata mmoja au kusikia fulani alieenda Israeli Shamba lake ndio lile pale.

Au wana practise kimya kimya na hawaki raia sisi tujue? Mwenye connection na Mashamba yao please.
Nani kakwambia wanaenda kujifunza kilimo mkuu, watu hawajui wanachokiongea....majority wanaenda kufanya vibarua kwenye mashamba ya commercial farmers...hakuna shule wala nini...!

Si umesikia Zakayo(Ruto) wa hapo Kenya kafanikiwa kupata huo mchongo wa kupeleka vibarua kwenye mashamba makubwa huko Israel...ni hivyo yaani!

Like that kuna wamalawi nao wamepata vibarua huko.

Wazimbabwe huwa wanaenda Sauzi kufanya vibarua kwenye mashamba ya wazungu!

Vijana wetu waliopo ulaya nao hufanya vibarua hivyo vya mashambani.

Wakati wa mkonge vibarua wengi walitoka Kigoma kwenda morogoro na tanga kufanya kazi mashambani...waliitwa manamba!
 
Ile internship tu(inakupa exposure )mbona hauulizii wanaosomea kilimo pale sua wanaishia wapi. Mmekalia kuwasakama tu kisa Israeli. Bongo ushamba mwingi sana na ujuaji usio na faida.
unguka mtaani utawaona
 
Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo.

Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani.

Sasa jamaa zetu huwa wakirudi wanaingia Field moja kwa moja au tena hurudi kutafuta kazi? Kuna mmoja namjua aliendaga Israeli kwa misheni za Kilimo, ila nilikuja shangaa one day kumkuta tena kaajiriwa, sikutaka kumuuliza make ni maamuzi yake. Hawa jamaa wanaoenda Israeli ndio walipaswa kuwa Mashamba darasa ya sisi raia wengine kutembelea na kupata ABC za mapinduzi ya Kilimo.

Ila sijawahi bahatika kukutana na hata mmoja au kusikia fulani alieenda Israeli Shamba lake ndio lile pale.

Au wana practise kimya kimya na hawaki raia sisi tujue? Mwenye connection na Mashamba yao please.
Vuta subiri mkuu. Wanakuja.
 
Boss binafsi nawafahamu 4 ambao nilikua nao intake moja pale SUA ,wawili wapo kondoa mmoja ana kiwanda kidogo cha wine kashirikiana na kondoa dioces ,mwingine ana mashamba ya mazao tofauti pale kondoa..mmoja yupo arusha ana mradi mkubwa wa kuku wa mayai na nyama ,wa mwisho yuko pwani ana project za nyanya na hoho za rangi.
 
Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo.

Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani.

Sasa jamaa zetu huwa wakirudi wanaingia Field moja kwa moja au tena hurudi kutafuta kazi? Kuna mmoja namjua aliendaga Israeli kwa misheni za Kilimo, ila nilikuja shangaa one day kumkuta tena kaajiriwa, sikutaka kumuuliza make ni maamuzi yake. Hawa jamaa wanaoenda Israeli ndio walipaswa kuwa Mashamba darasa ya sisi raia wengine kutembelea na kupata ABC za mapinduzi ya Kilimo.

Ila sijawahi bahatika kukutana na hata mmoja au kusikia fulani alieenda Israeli Shamba lake ndio lile pale.

Au wana practise kimya kimya na hawaki raia sisi tujue? Mwenye connection na Mashamba yao please.

Pia nko tayari kukuunganisha nao hawa wawili wa kondoa ni rahisi zaidi kuanza nao sababu wana program ya kupokea wageni mashambani na kiwandani kwao wanakotengeneza wine ….Hawa wawili wengine nafanya nao mawasiliano nione kama watakua tayari.
 
Kusoma au kujifunza ni jambo moja na kuyaweka hayo uliyojifunza katika practical ni jambo lingine. Swali ni je unaweza kuunganisha hayo mambo mawili kwa wakati mmoja kwa kutumia rasilimali ulizo nazo?
 
Ile internship tu(inakupa exposure )mbona hauulizii wanaosomea kilimo pale sua wanaishia wapi. Mmekalia kuwasakama tu kisa Israeli. Bongo ushamba mwingi sana na ujuaji usio na faida.
Wale huwa wanaenda kufanya Practocal waje kuparctice Tanzania, Wacha ujinga
 
Boss binafsi nawafahamu 4 ambao nilikua nao intake moja pale SUA ,wawili wapo kondoa mmoja ana kiwanda kidogo cha wine kashirikiana na kondoa dioces ,mwingine ana mashamba ya mazao tofauti pale kondoa..mmoja yupo arusha ana mradi mkubwa wa kuku wa mayai na nyama ,wa mwisho yuko pwani ana project za nyanya na hoho za rangi.
Kondoa sehemu gani?
 
wapo wa SUA walienda marekani kufanya intern mambo ya kilimo na ufugaji naona wameamua kujilipua kuzamia huko hawataki kurudi.
 
Back
Top Bottom