pole sana!
Mzazi kufiwa na mtoto ni kati ya mambo magumu ambayo hayaeleweki!!
Mtumaini muumba na jiweke mikononi mwake, usikate tamaa, bado una kazi duniani, ndio sababu binti ametangulia, amekuacha.
Jipe moyo, ishi kama muumba anavyotaka tukiwa hapa njiani, kwenye mateso ya kila namna!!
Pole sana!
speechless!