Wenzangu wa JamiiForum Ushauri

Wenzangu wa JamiiForum Ushauri

Biblia

Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
8
Reaction score
4
hivi kwanini unakuta mtu anasoma yuko darasani mwalimu anafundisha, wewe kama wewe unakuta ni mmoja wapo, ila Mawazo yako hayako pale na wala umsikilizi yaani mawazo yamehama yako nje ya darasa, na unajikuta unawaza mawzo ambayo dah [either unawaza mapenzi,au kuna kitu vingine unawaza, then akili inakuwa nzito then hata kama unasoma uko labda Prepo unajisomea baada ya mda ullicho kisoma unajikuta unsahau bila kujijua, Tazizo hilo linatokana na nini na nini kinachosababisha mpaka inakuwa hivo naombeni msaada wenu Tafadahali nisaidieni kwa hilo
 
Kama ni Kusahau ni udhaifu, kamwone tabibu ila hayo mawazo ya kuwaza kwingine jaribu kuepuka kusocialize na watu watakaokupa stress, maisha yenyewe mafupi haya
 
Fanya tabia ya kujisomea nje ya darasa. Muda mwingi wekeza kwenye kusoma tu.

Rudia rudia unachokisoma hata mara mia.

Ubongo ni kama kiungo kingine chochote cha mwilini, kinahitaji kuzoeshwa kifanye nini. Kujisomea sana ni mazoezi kwa ubongo kuufanya uzowee kusoma na kushika ukisomacho.
 
Back
Top Bottom