Wenzangu mnatumia mbinu gani ktk Maisha? Msaada wenu tafadhali!!

SHUGA BOY

Member
Jan 10, 2015
87
14
Ni miaka minne sasa niko Dar najituma kutafuta pesa ...sinywi pombe, sina anasa lakini biashara na mipango yangu inakwama vibaya mnooo!...wenzangu wao kila siku wanafanya starehe lakni mambo yao yako vizuri!

Mama na wadogo zangu wananitazama!
Eti! Jamani ninakosea wapi mwenzenu?...sote ni watanzania... tafadhari msaada wenu, nami nifurahie juhudi zangu!!

Asanteni sana!
 
Nenda kituo cha polisi,ukikuta polis wapo kwenye paledi na bunduki zao,mvamie mmoja,na hapo utakuwa umefanikiwa
 
inategemea mazingira unayoishi na marafiki ulionao. pia matumizi yako yatadetermine kiasi gani utakachobaki nacho na kukiwekeza.pia mahitaji yako ya muhimu ni yepi uliyochagua na ambayo si ya msingi.pia jaribu sana kuwashirikisha local people maana wanaufaham zaidi maisha ya mtaani kuliko sisi tunaopata taarifa na kushinda kwenye mitandao.tengeneza vitega uchumi ambavyo ni formal(vilivyosajiliwa kisheria) ambavyo hautatumia gharama kubwa kuvianzisha na kuviendeleza lakini vitakupa faida kubwa ambayo itakuwa ni base ya kukua na kuinvest.tembelea majukwaa ya uchumi,nunua vitabu vinavyoelezea unavyoweza kukua kiuchumi,soma mijadala mbali mbali ya kiuchumi.pia make sure BASIC NEED yako iwe KULA VIZURI na vingine viwe WANT na sio NEED
 
Huna starehe ndio maana hujitumi vya kutosha.
Ingekua unakula bata, ungeparangana mbaya kuhakikisha kwako kila siku ni sherehe.
 
ni miaka mnne sasa niko dar najituma kutafuta pesa ...sinywi pombe, sina anasa lakini biashara na mipango yangu inakwama vibaya mnooo!...wenzangu wao kila siku wanafanya starehe lakni mambo yao yako vizuri!

Mama na wadogo zangu wananitazama!
Eti! Jamani ninakosea wapi mwenzenu?...sote ni watanzania... tafadhari msaada wenu, nami nifurahie juhudi zangu!!

Asanteni sana!

Paangalie vizuri hapo nilipoweka rangi nyekundu.

Inaelekea unachopata na wanachohitaji hao uwiano hauruhusu uendelee!
 
Huna starehe ndio maana hujitumi vya kutosha.
Ingekua unakula bata, ungeparangana mbaya kuhakikisha kwako kila siku ni sherehe.

mimi pia sifanyi starehe ya aina yoyote,nipo dar huu mwaka wa pili na nimeanya investment zenye zaidi ya 30 milions.sina kazi ya uhakika sana lakini nilivyoeleza hapo juu ndivyo ninavyoviapply in my real life
 
make sure pamoja na kusadia ndugu zako uweze kusave kwa kila unachoingiza kama faida... njia rahisi ni ya saving ni kuchukua 1/3 ya faida yako uwe unasave .. na jitahidi uwe na mipango
 
make sure pamoja na kusadia ndugu zako uweze kusave kwa kila unachoingiza kama faida... njia rahisi ni ya saving ni kuchukua 1/3 ya faida yako uwe unasave .. na jitahidi uwe na mipango

well said,na ukifanya hivi kutoka kwako itakuwa rahisi sana
 
uvumilivu ni kitu kingine unachotakiwa kuwa nacho, wakati mwingine usifikirie kesho tu ukiamka uwe somewhere mbali.. endelea kujituma bila kuchoka, weka akiba jamaa mmoja hapo juu amesema atleast saving ya 1 /3 ya faida.
 
ni miaka mnne sasa niko dar najituma kutafuta pesa ...sinywi pombe, sina anasa lakini biashara na mipango yangu inakwama vibaya mnooo!...wenzangu wao kila siku wanafanya starehe lakni mambo yao yako vizuri!

Mama na wadogo zangu wananitazama!
Eti! Jamani ninakosea wapi mwenzenu?...sote ni watanzania... tafadhari msaada wenu, nami nifurahie juhudi zangu!!

Asanteni sana!

Jifungie ndani ukiwa peke yako, uwe seroius na uwe mnyenyekevu, ukumbuke vyema ni wapi ulikosea, kisha piga magoti umuombe BABA yako aliye sirini (MUNGU) myamalize, umuombe msamaha,na umpokee YESU KUWA NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO, kisha uweke nadhiri utafanya jema lipi ukifanikiwa,Na uwe mwepesi wa kumshukuru kwa kila jambo,na usiziamini sana akili zako omba ushauri kwake kwa kupitia sala kabla hujakurupuka kufanya jambo,tena uombe akukinge na maroho ya kina chuma ulete na maroho ya kuiba nyota za mafanikio, umfanye kuwa ndiyo baba yako wa siku zote, na utunze siri zako kwa umakini,fungu la kumi usilikwepe na usidhani MUNGU bila hilo fungu la kumi hata ishi! huo ni mtego kwako na sio lazima ulipeleke kwenye makanisa maana unaweza ukavuna laana badala ya baraka kutokana mienendo ya makanisa hayo mbele za MUNGU, Wapelekee hata watoto yatima, wajane na wagonjwa na usijitangaze,Kisha ushuhudie wenzako kumrudia MUNGU siku zote za maisha yako. nakwambia usipofanikiwa kwa njia hii lazima utakuwa unamix na ka ushetani ndani ya mafanikio yako!
 
inategemea mazingira unayoishi na marafiki ulionao. pia matumizi yako yatadetermine kiasi gani utakachobaki nacho na kukiwekeza.pia mahitaji yako ya muhimu ni yepi uliyochagua na ambayo si ya msingi.pia jaribu sana kuwashirikisha local people maana wanaufaham zaidi maisha ya mtaani kuliko sisi tunaopata taarifa na kushinda kwenye mitandao.tengeneza vitega uchumi ambavyo ni formal(vilivyosajiliwa kisheria) ambavyo hautatumia gharama kubwa kuvianzisha na kuviendeleza lakini vitakupa faida kubwa ambayo itakuwa ni base ya kukua na kuinvest.tembelea majukwaa ya uchumi,nunua vitabu vinavyoelezea unavyoweza kukua kiuchumi,soma mijadala mbali mbali ya kiuchumi.pia make sure BASIC NEED yako iwe KULA VIZURI na vingine viwe WANT na sio NEED

ushauri wako mzuri sana anajaribu kujibana ili matumizi yasizidi mapato lakini bado kipato kinashuka
hiyo ya vitega uchumi zaidi ya kimoja ntaitumia nione mkuu

ahsante sana kwa ushauri mzuri Mungu Akubariki kwa mda wako
 
inategemea mazingira unayoishi na marafiki ulionao. pia matumizi yako yatadetermine kiasi gani utakachobaki nacho na kukiwekeza.pia mahitaji yako ya muhimu ni yepi uliyochagua na ambayo si ya msingi.pia jaribu sana kuwashirikisha local people maana wanaufaham zaidi maisha ya mtaani kuliko sisi tunaopata taarifa na kushinda kwenye mitandao.tengeneza vitega uchumi ambavyo ni formal(vilivyosajiliwa kisheria) ambavyo hautatumia gharama kubwa kuvianzisha na kuviendeleza lakini vitakupa faida kubwa ambayo itakuwa ni base ya kukua na kuinvest.tembelea majukwaa ya uchumi,nunua vitabu vinavyoelezea unavyoweza kukua kiuchumi,soma mijadala mbali mbali ya kiuchumi.pia make sure BASIC NEED yako iwe KULA VIZURI na vingine viwe WANT na sio NEED

Hapa pana ukweli
 
Paangalie vizuri hapo nilipoweka rangi nyekundu.

Inaelekea unachopata na wanachohitaji hao uwiano hauruhusu uendelee!

najitahidi sana angalau matumizi yasizidi kipato lakini hali haibadiriki kipato hakiongezeki bali kibazidi kushuka!!
 
make sure pamoja na kusadia ndugu zako uweze kusave kwa kila unachoingiza kama faida... njia rahisi ni ya saving ni kuchukua 1/3 ya faida yako uwe unasave .. na jitahidi uwe na mipango

ushauri mzuri sana huu mkuu! Wacha nijipange upya
asante sana miss chagga
 
Last edited by a moderator:
ushauri wako mzuri sana anajaribu kujibana ili matumizi yasizidi mapato lakini bado kipato kinashuka
hiyo ya vitega uchumi zaidi ya kimoja ntaitumia nione mkuu

ahsante sana kwa ushauri mzuri Mungu Akubariki kwa mda wako

asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom