La kuchumpa
Member
- Mar 10, 2012
- 69
- 8
Jukwaa gani mnanihitaji?
Hauhitajiki hapa kama huna sera
Tupo...karibu sana
Jukwaa gani mnanihitaji?
Mimi pia mgeni hapa nabisha hodi
Majukwaa yote yanakufaa, karibu!
Huyu atakuwa ni sharobaro! MODS mpigeni LIFE BAN. Toto la kata.