Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,228
- 98,190
Nakushukuru sana kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa ukiwaacha kwa mbali kina Wakudadavua na Jinga lao
In God we trust
Ndio Siasa
Hata Jana Kwenye Press conference ya Mbowe alipokuwa anataja Vyama bya Upinzani vyenye nia ya dhati aliitaja Pia ACT ya Zitto Kabwe Msaliti aliekuwa anaiba Siri Za Chadema Na kupeleka Usalama wa Taifa
In God we trust