Wenyeviti Chadema watimkia CCM

Wenyeviti Chadema watimkia CCM

mamayoyo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,011
Reaction score
1,019


Wenyeviti Saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Wilayani Arumeru mkoani Arusha wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika ziara ya kikazi ya Mkuu wa wilaya hiyo Ndugu Jerry Cornel Muro katika Kata ya Maji ya Chai.



Wenyeviti wameamua kujiuzulu baada ya hapo juzi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Ndugu. Joshua Nassary kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge la Tanzania baada ya kutokuhudhuria vikao vitatu vya bunge mfululizo

Dc Muro akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Meru Mwalimu Kanuthi wamewapokea wenyeviti hao walioleza kuwa wameamua kujiunga na CCM ili kumuuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake Sambamba na kumpongeza Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kazi anazozifanya na namna anavyotatua migogoro ya wananchi

Mwenyeviti waliopokelewa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ngurdoto Ndugu Mosses Ayo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Maji ya Chai Ndugu Mase David Mbise pamoja na hapo amewapokea wenyeviti wa vitongoji vitano ambavyo ni Ndugu Perfect Philemon Mwenyekiti wa kitongoji cha Bondeni,Laurant Kessy Kitongoji cha Mburueshi, Elisante Akyoo Kitongoji cha KCenter Mwenyekiti wa kijiji cha Seneto Ndugu Christopher Mbise pamoja na Ndugu Amani Kitali Mwenyekiti kitongoji cha Kimandafu.
 


Wenyeviti Saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Wilayani Arumeru mkoani Arusha wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika ziara ya kikazi ya Mkuu wa wilaya hiyo Ndugu Jerry Cornel Muro katika Kata ya Maji ya Chai.



Wenyeviti wameamua kujiuzulu baada ya hapo juzi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Ndugu. Joshua Nassary kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge la Tanzania baada ya kutokuhudhuria vikao vitatu vya bunge mfululizo

Dc Muro akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Meru Mwalimu Kanuthi wamewapokea wenyeviti hao walioleza kuwa wameamua kujiunga na CCM ili kumuuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake Sambamba na kumpongeza Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kazi anazozifanya na namna anavyotatua migogoro ya wananchi

Mwenyeviti waliopokelewa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ngurdoto Ndugu Mosses Ayo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Maji ya Chai Ndugu Mase David Mbise pamoja na hapo amewapokea wenyeviti wa vitongoji vitano ambavyo ni Ndugu Perfect Philemon Mwenyekiti wa kitongoji cha Bondeni,Laurant Kessy Kitongoji cha Mburueshi, Elisante Akyoo Kitongoji cha KCenter Mwenyekiti wa kijiji cha Seneto Ndugu Christopher Mbise pamoja na Ndugu Amani Kitali Mwenyekiti kitongoji cha Kimandafu.
hata wakihama wote upinzani wa kweli utabaki siwezi kuunga mkono serikali iliyokuja nyumbani kumkamata ndugu yangu kisha nikarudishiwa maiti ya ndugu yangu baada ya kuchomwa kisu na polisi, siwezi kuiunga mkono serikali iliyonibomolea nyumba kimakosa na ikakataa kunilipa fidia, siwezi kuikubali serikali iliyosababisha mwanangu akafariki kwa kukosa dawa ya nyoka n.k
 
hata wakihama wote upinzani wa kweli utabaki siwezi kuunga mkono serikali iliyokuja nyumbani kumkamata ndugu yangu kisha nikarudishiwa maiti ya ndugu yangu baada ya kuchomwa kisu na polisi, siwezi kuiunga mkono serikali iliyonibomolea nyumba kimakosa na ikakataa kunilipa fidia, siwezi kuikubali serikali iliyosababisha mwanangu akafariki kwa kukosa dawa ya nyoka n.k
Sawa, pole sana, ndugu kauliwa na polisi, umevunjiwa nyumba, una haki kuichukia, bila kuhalalisha hilo, ujue kuna wengine wana sababu kedekede za kuunga mkono.
Usituone mafara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii siyo habari tena


Wenyeviti Saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Wilayani Arumeru mkoani Arusha wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika ziara ya kikazi ya Mkuu wa wilaya hiyo Ndugu Jerry Cornel Muro katika Kata ya Maji ya Chai.



Wenyeviti wameamua kujiuzulu baada ya hapo juzi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Ndugu. Joshua Nassary kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge la Tanzania baada ya kutokuhudhuria vikao vitatu vya bunge mfululizo

Dc Muro akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Meru Mwalimu Kanuthi wamewapokea wenyeviti hao walioleza kuwa wameamua kujiunga na CCM ili kumuuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake Sambamba na kumpongeza Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kazi anazozifanya na namna anavyotatua migogoro ya wananchi

Mwenyeviti waliopokelewa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ngurdoto Ndugu Mosses Ayo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Maji ya Chai Ndugu Mase David Mbise pamoja na hapo amewapokea wenyeviti wa vitongoji vitano ambavyo ni Ndugu Perfect Philemon Mwenyekiti wa kitongoji cha Bondeni,Laurant Kessy Kitongoji cha Mburueshi, Elisante Akyoo Kitongoji cha KCenter Mwenyekiti wa kijiji cha Seneto Ndugu Christopher Mbise pamoja na Ndugu Amani Kitali Mwenyekiti kitongoji cha Kimandafu.

In God we trust
 
Sawa, pole sana, ndugu kauliwa na polisi, umevunjiwa nyumba, una haki kuichukia, bila kuhalalisha hilo, ujue kuna wengine wana sababu kedekede za kuunga mkono.
Usituone mafara.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama ni mmoja wa watu wanaowaumiza watu ua kuwateka na kuwapoteza au ni mmoja wa wanufaika na udhalimu huu unaanzaje kuacha kuukubali/
 
Nassari kaanza kurudisha Nyumbani kundi lake kabla ya Yeye kurudi rasmi

Hata Mzee Ngoyai watu wake wa Monduli walianza kurudi kabla ya yake

Bana Mwerevu huwa wa Mwisho kuingia ndani wakitoka Na familia kuzurura/ kutembea
 
sasa aliyekuwa anawadanganya kaamua kurudi nyumban unategemea watoto watabaki ugenini nassaari kasharudi nyumbani kimya kimya
 


Wenyeviti Saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Wilayani Arumeru mkoani Arusha wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika ziara ya kikazi ya Mkuu wa wilaya hiyo Ndugu Jerry Cornel Muro katika Kata ya Maji ya Chai.



Wenyeviti wameamua kujiuzulu baada ya hapo juzi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Ndugu. Joshua Nassary kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge la Tanzania baada ya kutokuhudhuria vikao vitatu vya bunge mfululizo

Dc Muro akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Meru Mwalimu Kanuthi wamewapokea wenyeviti hao walioleza kuwa wameamua kujiunga na CCM ili kumuuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake Sambamba na kumpongeza Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kazi anazozifanya na namna anavyotatua migogoro ya wananchi

Mwenyeviti waliopokelewa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ngurdoto Ndugu Mosses Ayo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Maji ya Chai Ndugu Mase David Mbise pamoja na hapo amewapokea wenyeviti wa vitongoji vitano ambavyo ni Ndugu Perfect Philemon Mwenyekiti wa kitongoji cha Bondeni,Laurant Kessy Kitongoji cha Mburueshi, Elisante Akyoo Kitongoji cha KCenter Mwenyekiti wa kijiji cha Seneto Ndugu Christopher Mbise pamoja na Ndugu Amani Kitali Mwenyekiti kitongoji cha Kimandafu.
Vipi wanahama na vyeo vyao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nassari kaanza kurudisha Nyumbani kundi lake kabla ya Yeye kurudi rasmi

Hata Mzee Ngoyai watu wake wa Monduli walianza kurudi kabla ya yake

Bana Mwerevu huwa wa Mwisho kuingia ndani wakitoka Na familia kuzurura/ kutembea
Ha ha ukiwa na raisi zero capacity hizo ndio news utasikia watapanga watu then i wanasema wamehama that's a loughing stalk mazero brain
 
Nassari kaanza kurudisha Nyumbani kundi lake kabla ya Yeye kurudi rasmi

Hata Mzee Ngoyai watu wake wa Monduli walianza kurudi kabla ya yake

Bana Mwerevu huwa wa Mwisho kuingia ndani wakitoka Na familia kuzurura/ kutembea
Kumbe bado bado lowasa ana thamani ndani ya ccm

In God we trust
 
hata wakihama wote upinzani wa kweli utabaki siwezi kuunga mkono serikali iliyokuja nyumbani kumkamata ndugu yangu kisha nikarudishiwa maiti ya ndugu yangu baada ya kuchomwa kisu na polisi, siwezi kuiunga mkono serikali iliyonibomolea nyumba kimakosa na ikakataa kunilipa fidia, siwezi kuikubali serikali iliyosababisha mwanangu akafariki kwa kukosa dawa ya nyoka n.k
acha uongo
 
hata wakihama wote upinzani wa kweli utabaki siwezi kuunga mkono serikali iliyokuja nyumbani kumkamata ndugu yangu kisha nikarudishiwa maiti ya ndugu yangu baada ya kuchomwa kisu na polisi, siwezi kuiunga mkono serikali iliyonibomolea nyumba kimakosa na ikakataa kunilipa fidia, siwezi kuikubali serikali iliyosababisha mwanangu akafariki kwa kukosa dawa ya nyoka n.k
Wee baki tu na mihasira yako na kisasi wengine wanaenda na awamu hii ya maendeleo.
 
Kumbe bado bado lowasa ana thamani ndani ya ccm

In God we trust

Lowassa alitumia Chadema kuifuta list of shame Na Baada ya kumaliza kasi karejea Nyumbani

Chadema wana ubavu wa kurudisha list of shame?
 
Bado hujanijibu swali langu ndugu yangu Pohamba nimeuliza hivi...kwani mzee Lowasa kwa sasa anayo thamani ndani ya ccm?
Lowassa alitumia Chadema kuifuta list of shame Na Baada ya kumaliza kasi karejea Nyumbani

Chadema wana ubavu wa kurudisha list of shame?

In God we trust
 
Bado hujanijibu swali langu ndugu yangu Pohamba nimeuliza hivi...kwani mzee Lowasa kwa sasa anayo thamani ndani ya ccm?

In God we trust

Anayo Tena kubwa sana

PM wa zamani
Mbunge wa zamani
Waziri wa zamani
Mwana CCM mpya
Mgombea Urais wa Ukawa 2015
 


Wenyeviti Saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Wilayani Arumeru mkoani Arusha wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika ziara ya kikazi ya Mkuu wa wilaya hiyo Ndugu Jerry Cornel Muro katika Kata ya Maji ya Chai.



Wenyeviti wameamua kujiuzulu baada ya hapo juzi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Ndugu. Joshua Nassary kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge la Tanzania baada ya kutokuhudhuria vikao vitatu vya bunge mfululizo

Dc Muro akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Meru Mwalimu Kanuthi wamewapokea wenyeviti hao walioleza kuwa wameamua kujiunga na CCM ili kumuuunga mkono Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake Sambamba na kumpongeza Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kazi anazozifanya na namna anavyotatua migogoro ya wananchi

Mwenyeviti waliopokelewa ni Mwenyekiti wa kijiji cha Ngurdoto Ndugu Mosses Ayo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Maji ya Chai Ndugu Mase David Mbise pamoja na hapo amewapokea wenyeviti wa vitongoji vitano ambavyo ni Ndugu Perfect Philemon Mwenyekiti wa kitongoji cha Bondeni,Laurant Kessy Kitongoji cha Mburueshi, Elisante Akyoo Kitongoji cha KCenter Mwenyekiti wa kijiji cha Seneto Ndugu Christopher Mbise pamoja na Ndugu Amani Kitali Mwenyekiti kitongoji cha Kimandafu.
Tumechoka na haya mahoka!!! Hivi watu hawana kazi? Kuhangaika tu na vyama vya siasa!!!!! Leo huku kesho kule!!! Mtu anatakiwa awe na msimamo!!!!
 
Binafsi nimekuelewa vipi kina Msukuma Kasheku na polepole walio kuwa wanambeza na kumtukana matusi yasiyo stahili?wanamchukuliaje?
Anayo Tena kubwa sana

PM wa zamani
Mbunge wa zamani
Waziri wa zamani
Mwana CCM mpya
Mgombea Urais wa Ukawa 2015

In God we trust
 
Binafsi nimekuelewa vipi kina Msukuma Kasheku na polepole walio kuwa wanambeza na kumtukana matusi yasiyo stahili?wanamchukuliaje?

In God we trust

Ndio Siasa

Hata Jana Kwenye Press conference ya Mbowe alipokuwa anataja Vyama bya Upinzani vyenye nia ya dhati aliitaja Pia ACT ya Zitto Kabwe Msaliti aliekuwa anaiba Siri Za Chadema Na kupeleka Usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom