Wenye VW Touareg naomba msaada wenu hapa

Wenye VW Touareg naomba msaada wenu hapa

American nigga

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
704
Reaction score
1,058
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Lita 150 kutokea wapi mkuu
 
Umetokea wapi kuelekea Arusha?

Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....

Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...


Please see below chart.

Screenshot_20220215-144206_Chrome.jpg
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.

Hilo haliwezekani; Hakuna hizo liter kwenye hiyo safari labda Kama mafuta yamemwagika!

Na pia sikuelewi; Kwani Arusha tu ndo safari? Ukiwa mkoani Hujui Gari unaenda Km ngapi/liter?

Mh! Hii Ni chai bwana! Unatuongopea; au una malengo gani Kwa ujumla? Hiyo ina maana Gari unaenda Km???? Kwa ?????
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Ulikuwa unaenda mwendo gani?
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.

Bwashe ulikuwa unatokea Botswana?
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Halafu ni 3.2 au 3.6 petrol?
 
Utasemaje hivi bila kujua consumption ya hio gari na alikuwa anaendeshaje?
@RRONDO ndio maana nimemuwekea chart hapo chini....

Assume gari ni used so inakula 6km/l ina maana kwa mafuta ya lita 150l ameenda km 900 net kwa costant speed and ukanyagaji wa mafuta...


Ajabu.

Labda atueleze ametoka wapi kufikia arusha but ukiniambia aina ya uendeshaji nakataa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom