Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,264
- 26,809
Hana akili huyuKwamba binti ana mimba ya jamaa mwingine na huelewi ufanye nini..
Kwahiyo alikuwa ana share🙌🙄
Kuna wanawake Wana bahati
Hana akili huyuKwamba binti ana mimba ya jamaa mwingine na huelewi ufanye nini..
Kwakweli nimeona😃Hana akili huyu
Kwahiyo alikuwa ana share🙌🙄
Kuna wanawake Wana bahati
Ndio😂😂😂
Achana Nae.Kazi ya moyo NI kusukuma damu.Hivi karibu nilipost uzi hapo kuhusu kukataliwa na wazazi.
Maajabu binti ana mimba ya mtu mwingine kumbe ilikua ni kuzingukwa tu na jamaa aliyemtia mimba hamuoi, kapita kushoto.
Binti anarudi kuniambia hayo mambo. Ninampenda sana lakini ndio hivyo tena kikwazo mimba.
Naumia moyo wangu ndugu zangu. Naombeni msaada tafadhali.
sawa mkuuAchana Nae.Kazi ya moyo NI kusukuma damu.
Funga siku 2,baada ya Hapo utakuwa sawa.
Mwanamke hafai huyooo
hahahah hii nayo ni hatariUmenikumbusha naibu waziri aliwahi Ku rap "akili hazi uwezi moyo nao una akili pia"
ngoja tuangalieSasa kama jamaa kaingia mitini si uchukue kabisa huo mzigo? Umeachiwa ujinome wengine huwa hawaachi. Kama unaweza kuvumilia kutunza mtoto wa huyo jamaa we tunza la huwezi piga chini ila muacha kistarabu, mpepeleke kwao halafu kata mawasiliano naye katafute new brand uje uanze kuzaa naye kwa raha bila msongo wa mawazo, huyo unapenda ndiyo ila hutamfurahia mtoto wake
nime screenshot huu ujumbeUkiwa wewe unajijua ni MTU masikini hakikisha matumizi yako ya akili yanakuwa makubwa Sana
Wewe bado haujui unataka nini katika haya maisha hivyo wenzako wanachofanya wanakupa mipira iliyokufa ili upige wewe , usipojitambua utalea Sana mimba za watu na utaudumia Sana wanawake na mwisho utakufa masikini
Wekeza katika wewe ,usimuhurumie MTU kuwa bahili na katili kwenye mambo ya pesa ,
hahahahaLeo mimba mkuu wasikuzingue. Mtoto akizaliwa mlee pia vzur had mama atapomaliza uzazi, aanze tena kupendeza ili arudi kwa jamaa.
Ahaa asifanye hivo kuna kuteleza jamani usimhukumu sanaMkuu fuata kanuni ya mwanafalsafa wa kale wa kiswahili.
Mwambie umemsamehe
Endelea kumega tunda kimya kimya
Jikune unapoweza
Haki katoto kakifikisha miezi 6, tia mimba ya mtoto wako, nasisitiza tenaa hakikisha mazingira yote ni wewe tu unahondomola.
Akinasa ikifikisha miezi ya kuzaa nawe pita kushoto.
Hakikisha amekuwa single mama wa baba wawili tofauti.
Huo ndio ujanadume, hawezi kukufanya fala mara mbili
Kama unaumia moyo basi muoe tu na mimba yake ili roho yako itulie.Hivi karibu nilipost uzi hapo kuhusu kukataliwa na wazazi.
Maajabu binti ana mimba ya mtu mwingine kumbe ilikua ni kuzingukwa tu na jamaa aliyemtia mimba hamuoi, kapita kushoto.
Binti anarudi kuniambia hayo mambo. Ninampenda sana lakini ndio hivyo tena kikwazo mimba.
Naumia moyo wangu ndugu zangu. Naombeni msaada tafadhali.
Mi kila siku naoga na chumvi ya mawe ili nizimue mauchawi ya wanawake wenye hilaAngalizo! Siku hizi wanawake wanaroga wanaume sana hivyo msimshangae jamaa kukosa uamuzi hadi kwa situation ya aina hiyo.... Tafadhalini jihadharini na wanawake wa sasa.
Tusimzingue kabisa🤪🤣 fanya hivoo😂😂Leo mimba mkuu wasikuzingue. Mtoto akizaliwa mlee pia vzur had mama atapomaliza uzazi, aanze tena kupendeza ili arudi kwa jamaa.
asante kwa ushauriTusimzingue kabisafanya hivoo
![]()
Jufunze kujipenda wewe kabla ya mtu mwingine ! Hapo anataka kukutumia tu coz yuko out of option ! Usiamini binadamu hutokaa uumie!Hivi karibu nilipost uzi hapo kuhusu kukataliwa na wazazi.
Maajabu binti ana mimba ya mtu mwingine kumbe ilikua ni kuzingukwa tu na jamaa aliyemtia mimba hamuoi, kapita kushoto.
Binti anarudi kuniambia hayo mambo. Ninampenda sana lakini ndio hivyo tena kikwazo mimba.
Naumia moyo wangu ndugu zangu. Naombeni msaada tafadhali.