Wenye Uzoefu kwenye ndoa Jamani

Wenye Uzoefu kwenye ndoa Jamani

Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !

🤣🤣🤣🤣aisee
 
Natumai wote tuko kwenye majukumu yetu ya kujenga Tanzania yetu. (Msitushangae wengine tulikuwa tunaijenga usiku side by side na wabomoaji Taifa)

Navojua mimi hakuna kitu kizuri kama umefika home (Umechoka?) Okay, umefika home una njaa na umemmiss mamy wa House.
Halafu ye anakuletea
View attachment 1147145

Huku yeye umemkuta
View attachment 1147148
Ama
View attachment 1147150

Yani unakaa pale confused kwanza. Akili ziko 'Ovez'. Unashindwa kujua uanze kula kipi sasa.

Asikuambie mtu, mwanamke anayejua kupika ni bora sana katika ndoa. Kuvaa kanga tutafundishana na ni kozi ya cku1 tu. Ila kupika jamani ni muhimu sana kwa wake zetu.

Kwa niaba ya wanaume tuliooa tuwashukuru sana wanawake walio katika ndoa na wanajua umuhimu wa kumpikia mume na watoto. Japo wengine hawapati muda sana lakini hujitahidi. Muishi milele na mfanikiwe!!!!
.
tapatalk_1562330027865.jpeg
 

Ndoa nzuri sana lakini ya kwenye maandishi au simulizi tu, tia mguu ndiyo utajua, dadeki mwanamke atakufanyia kila zuri na hila ili umuoe, akishapata ndoa ni kama vile uchaguzi wa Raisi wa milele umeisha na mshindi ndiye yeye so anaona kampeni za nini tena
 
Kauli hii si mara ya kwanza naisikia.

Chakula, usafi na kauli safi ni silaha tosha katika NDOA.
Mwanamke bora hata asijue kupika ila awe na kauli nzuri....

Ila awe anajua kupika na mapenzi ya style zote kama kauli mbovu hapo hakuna raha tena
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Halahala usije ukajiwowa mwenyewe
 
Mwanamke hata ajue kupika namna gani kama hana kauli nzuri na usafi yote ni bure.
Ni kweli mkuu,yaani kama hana kauli na si msafi hata hiyo kanga moko na hayo maumbile yake pia unaweza usiwe unayaona...
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Kwa hiyo mwanawane wee unawagegeda tuu. Safi sana.
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Na kuolewa?
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Kama hadi Nazi unaweka basi kuna walakini sehemu
 
Back
Top Bottom