Wenye Uzoefu kwenye ndoa Jamani

Wenye Uzoefu kwenye ndoa Jamani

Niliishi nakimada mwezi mmoja aiseee Sina hamu yakuoa kabisa hata yakubanana tena kama ndizi.....wiki yakwanza fresh wiki yapili fresh kidogo, wiki yatatu nikaanza kupangiwa mda wakurudi wiki yanne nikaanza kuulizwa kila namba niliyoisave kwajina lakike kwenye simu yangu namaelezo kila namba niitolee, wiki yatano nikichelewa nanuniwa ile ile yaani, nikaanza kuishi kwamashaka maana kulala bed moja namtu ambaye hamuongei yataka moyo. Yalinishinda aiseee nasitamani tena kuishi na mwanamke
 
Niliishi nakimada mwezi mmoja aiseee Sina hamu yakuoa kabisa hata yakubanana tena kama ndizi.....wiki yakwanza fresh wiki yapili fresh kidogo, wiki yatatu nikaanza kupangiwa mda wakurudi wiki yanne nikaanza kuulizwa kila namba niliyoisave kwajina lakike kwenye simu yangu namaelezo kila namba niitolee, wiki yatano nikichelewa nanuniwa ile ile yaani, nikaanza kuishi kwamashaka maana kulala bed moja namtu ambaye hamuongei yataka moyo. Yalinishinda aiseee nasitamani tena kuishi na mwanamke
Ukweli kwenye ndoa hapo pa kulala kitanda kimoja hamuongei ni janga sana. Hapo mi naonaga wanawake wanafeli sana. Kwa mwanaume kumnunia mwanamke ni maajabu.
 
Natumai wote tuko kwenye majukumu yetu ya kujenga Tanzania yetu. (Msitushangae wengine tulikuwa tunaijenga usiku side by side na wabomoaji Taifa)

Navojua mimi hakuna kitu kizuri kama umefika home (Umechoka?) <- haishauriwi hiii 😉
Okay, umefika home una njaa na umemmiss mamy wa House.
Halafu ye anakuletea
View attachment 1147145

Huku yeye umemkuta
View attachment 1147148
Ama
View attachment 1147150

Yani unakaa pale confused kwanza. Akili ziko 'Ovez'. Unashindwa kujua uanze kula kipi sasa.

Asikuambie mtu, mwanamke anayejua kupika ni bora sana katika ndoa. Kuvaa kanga tutafundishana na ni kozi ya cku1 tu. Ila kupika jamani ni muhimu sana kwa wake zetu.

Kwa niaba ya wanaume tuliooa tuwashukuru sana wanawake walio katika ndoa na wanajua umuhimu wa kumpikia mume na watoto. Japo wengine hawapati muda sana lakini hujitahidi. Muishi milele na mfanikiwe!!!!
HAHAHA KULA KWA KWELI NI MOJA YA BURADANI AMA STAREHE MOJA WAPO KWENYE JAMII UKIACHIA KUWA NI SWALA LA MSINGI LA UHITAJI KIBINADAMU. ILA SIKU HIZI MOST OF SUPER WOMEN HAWAINGII JIKONI.

NB: NISI NUKULIWE VIBAYA KUWA NDIO TARATIBU PEKEE KWA JINSIA YA KIKE KUPIKA/KUINGIA JIKONI.

PEACE & LOVE
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Adi mm mkuu
 
Kama ndo wanapata hizo raha basi sawa

Ila sisi wanaume tunaujua kupika , sijui kwa nini hatuwazagi kuoa

Yaani aisee

Mi hadi wali naweka nazi !

Jiko la mkaa , la gesi , la umeme yote nimo

Kuoa siwazi kabisa !
Sema mm mapenzi yanliumiz kidogo
 
Kauli hii si mara ya kwanza naisikia.

Chakula, usafi na kauli safi ni silaha tosha katika NDOA.
Busara tupu. Kama uta/nayatenda haya katika ndoa yako, ni wazi kuwa utakuwa na ndoa ya furaha sana.
 
Back
Top Bottom