Wenye utaalamu na ps 2 naombeni msaada

Wenye utaalamu na ps 2 naombeni msaada

mc1886

Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
33
Reaction score
0
Kwanza kabisa natanguliza pongezi kwa wadau wote wanaolitumia jukwaa hili kwa kutuelimisha kuhusu maswala mbali mbali.. Ombi langu ni kuwa, Nahitaji kuweka mfumo wa flash kwenye ps 2 zangu, wadau naombeni mnijuze how to go about it? Pili, je inawezekana kudownload games from internet na kuzicheza kwa kutumia USB(flash) kwenye PS2, how to do it. Asanteni
 
hapo inabidi umuone mtaalam kwa vile hata ukijuzwa ni vigumu kufanikisha it's very technical swali langu kwako izo ps 2 zako ziko ngapi? na je zinatumia adapter (DC) au wire direct (AC)? kuhusu games za kudownload zicheze via flash possibly yes but again more skills needed to accomplish that task.
 
Kwanza kabisa natanguliza pongezi kwa wadau wote wanaolitumia jukwaa hili kwa kutuelimisha kuhusu maswala mbali mbali.. Ombi langu ni kuwa, Nahitaji kuweka mfumo wa flash kwenye ps 2 zangu, wadau naombeni mnijuze how to go about it? Pili, je inawezekana kudownload games from internet na kuzicheza kwa kutumia USB(flash) kwenye PS2, how to do it. Asanteni

Hizo port haziaccept Mass storage device lakini zina2mika kuchomekea devices kama USB mouse, USB keyboard kwa chating on online games(unaweza plug in ethernet cable kwa nyuma ya Ps2 to a broadband and go online), pia unaweza plug in Guns zile kama za "Duck hunt" (kama unakumbuka), pia Kuna eye devices unaweza plug not to mention Driving wheels kwa car game, Basically anything with a PS2 logo and a USb cable goes there!! Kuhusu kudownload, yeah ni possible ila after downloading you then burn em on dvd afu ndo unaweka kwenye PS, i did this like a million times, siku hizi natumia emulator kuchezea games nilizodownload cause i kinda miss The old days. GoW 2 my all time fav
 
Unachotakiwa kununua ni adapter ya ku convert kutoka ps2 kwenda usb.
 
hapo inabidi umuone mtaalam kwa vile hata ukijuzwa ni vigumu kufanikisha it's very technical swali langu kwako izo ps 2 zako ziko ngapi? na je zinatumia adapter (DC) au wire direct (AC)? kuhusu games za kudownload zicheze via flash possibly yes but again more skills needed to accomplish that task.

Ziko 3, moja inatumia adapter na 2 zinatumia wire direct.
 
Hizo port haziaccept Mass storage device lakini zina2mika kuchomekea devices kama USB mouse, USB keyboard kwa chating on online games(unaweza plug in ethernet cable kwa nyuma ya Ps2 to the modem and go online), pia unaweza plug in Guns zile kama za "Duck hunt" (kama unakumbuka), pia Kuna eye devices unaweza plug not to mention Driving wheels kwa car game, Basically anything with a PS2 logo and a USb cable goes there!! Kuhusu kudownload, yeah ni possible ila after downloading you then burn em on dvd afu ndo unaweka kwenye PS, i did this like a million times, siku hizi natumia emulator kuchezea games nilizodownload cause i kinda miss The old days. GoW 2 my all time fav

Asante kwa ushauri, is just i have a play station center therfore is easier to play games via usb/flash disk other than from cds... and I dont want to be buying new games every now and then.
 
Kwanza kabisa natanguliza pongezi kwa wadau wote wanaolitumia jukwaa hili kwa kutuelimisha kuhusu maswala mbali mbali.. Ombi langu ni kuwa, Nahitaji kuweka mfumo wa flash kwenye ps 2 zangu, wadau naombeni mnijuze how to go about it? Pili, je inawezekana kudownload games from internet na kuzicheza kwa kutumia USB(flash) kwenye PS2, how to do it. Asanteni

nimeku-pm
 
Back
Top Bottom