Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,570
- 16,017
GTs,
Juzi kati hapa tulionya, walioshiriki na kushuhudia mauaji ya ndugu zetu watanzania wajue hawapo salama kabisa. Na ile tume ya Dkt Samia tumewa tahadharisha siyo ya kushirikiana nayo maana inakusanya pia ushahidi wa wale ambao wanaweza kushiriki kutoa ushahidi kule ICC.
Kwa akili zangu za kijinga, wafuatao hawapo salama kabisa wajiadae kufa kifo kibaya kusafisha mashahidi wote ili kesi ya ICC ikose nguvu.
Jenister Mhagama huyu kauawa sababu alikuwa ni waziri wa afya, alikuwa na ushahidi tosha wa namna majeruhi walivyopelekwa mochwari wakiwa hai wakafia huko, huyu pia alikuwa na ushahidi wa maiti zilivyorundikwa etc.
Waziri mambo ya ndani huyu anamaelekezo yote ya kutekeleza mauaji
Madakitari wa hospitali ambazo zilipokea wagonjwa
IGP na Muliro na askali wote walioshiriki/kushirikiana na kikundi cha mauaji
Tuongeze idadi
Juzi kati hapa tulionya, walioshiriki na kushuhudia mauaji ya ndugu zetu watanzania wajue hawapo salama kabisa. Na ile tume ya Dkt Samia tumewa tahadharisha siyo ya kushirikiana nayo maana inakusanya pia ushahidi wa wale ambao wanaweza kushiriki kutoa ushahidi kule ICC.
Kwa akili zangu za kijinga, wafuatao hawapo salama kabisa wajiadae kufa kifo kibaya kusafisha mashahidi wote ili kesi ya ICC ikose nguvu.
Jenister Mhagama huyu kauawa sababu alikuwa ni waziri wa afya, alikuwa na ushahidi tosha wa namna majeruhi walivyopelekwa mochwari wakiwa hai wakafia huko, huyu pia alikuwa na ushahidi wa maiti zilivyorundikwa etc.
Waziri mambo ya ndani huyu anamaelekezo yote ya kutekeleza mauaji
Madakitari wa hospitali ambazo zilipokea wagonjwa
IGP na Muliro na askali wote walioshiriki/kushirikiana na kikundi cha mauaji
Tuongeze idadi
