Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,621
- 2,919
Poleni Wakuu
Naomba niende moja kwa moja kwenye Swali langu!
Endapo ikiwa,ukiyachemsha maji Bila shaka vile vijidudu inasemekana Ufa,!
Swali langu ni hili.
je,endapo maji ukiyagandisha vijidudu navyo ufariki?
Na kama jibu ni ndiyo
je,ina maana hakutakuwa na haja ya kuchemsha maji b'cause ni kupoteza energy na muda kuliko kuyagandisha na kuwaua direct vijidudu.
Kama jibu hapana ni kwa nini havifi kwenye baridi?
Endapo wanyama wanaweza kufa kwenye baridi Kwanini vijidudu visife?
swali langu la mwisho
Ni kwanini barafu linateleza?!?
UPDATE.
Majibu nimeyapata kutokana na michango ya watu hapo chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende moja kwa moja kwenye Swali langu!
Endapo ikiwa,ukiyachemsha maji Bila shaka vile vijidudu inasemekana Ufa,!
Swali langu ni hili.
je,endapo maji ukiyagandisha vijidudu navyo ufariki?
Na kama jibu ni ndiyo
je,ina maana hakutakuwa na haja ya kuchemsha maji b'cause ni kupoteza energy na muda kuliko kuyagandisha na kuwaua direct vijidudu.
Kama jibu hapana ni kwa nini havifi kwenye baridi?
Endapo wanyama wanaweza kufa kwenye baridi Kwanini vijidudu visife?
swali langu la mwisho
Ni kwanini barafu linateleza?!?
UPDATE.
Majibu nimeyapata kutokana na michango ya watu hapo chini.
Sent using Jamii Forums mobile app