Wenye shida ya Professional Business Plan naandika

Wenye shida ya Professional Business Plan naandika

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,632
Reaction score
5,023
Naandika Professional Business Plan kwa aliye na wazo na anataka kuandaa Business Plan au kama unataka kuandaa mwenyewe nakupa format unaandaa mwenyewe.

Gharama
Bei ya kukuandikia 20,000/=
Bei ya kukupa Format 10,000/=

Huduma zingine ni
1)Professional CV
2)Professional Cover Letter

Umuhimu wa Business plan
1)kuwasilisha kwa muwezeshaji
2)kukupa mchanganuo wa biashara
3)kuweka kumbukumbu
 
1. Binafsi huwa siamini katika business plan za kuandikiwa. Business plan nzuri ni ile inayoandikwa na mwenye wazo mwenyewe

2.Katika kutekeleza biashara mara nyingi unapaanza unakuta mambo mengi yanebadilika kinyume na ulivyopanga. Hivyo ni lazima uwe mwepesi wa ku ji adjust na kuendana na uhalisia bila kuharibu wazo lako la biashara. Lakini pia wazo litaboreshwa kadri uhalisia utavyohitaji.
 
iMind, Ni kweli plan anytime can change ila nilivyomwelewa mtoa mada kasema ukiitaji format anakutumia ili uandike mwenyewe..,,,
Ila ukihitaji unamwambia plan yako then yeye anakuandikia means anakuandikia kutokana na mawazo yako and then kama kutakua na mababadiliko utajua mwenyewe jinsi ya kuadjust..
 
October man,

Duh mkuu nadhani utakuwa mtu mwema sana na mwenye muda wa wakutosha.

Kwa nijuavyo mimi hakuna business plan ya elf 20. Yaani the way hiyo kazi ilivyo complicated si rahisi kufanya kwa bei hiyo unless unajitolea.

Sasa nakupa deal la kutengeneza business plan 10 kwa hiyo elf 20. Tuwasiliane.
 
Duh mkuu nadhani utakuwa mtu mwema sana na mwenye muda wa wakutosha.

Kwa nijuavyo mimi hakuna business plan ya elf 20. Yaani the way hiyo kazi ilivyo complicated si rahisi kufanya kwa bei hiyo unless unajitolea.

Sasa nakupa deal la kutengeneza business plan 10 kwa hiyo elf 20. Tuwasiliane.
Tuwasiliane namba nimeweka mkuu.
 
Dogo una mihemko sana.

Calm Down. Relax.

Taratibu Kijana
 
Business plan 20k?? (professional)...Duuuuuu.....Ngumu kumesa Mangi
 
Ni kweli plan anytime can change ila nilivyomwelewa mtoa mada kasema ukiitaji format anakutumia ili uandike mwenyewe..,,,
Ila ukihitaji unamwambia plan yako then yeye anakuandikia means anakuandikia kutokana na mawazo yako and then kama kutakua na mababadiliko utajua mwenyewe jinsi ya kuadjust..
Ni sawa. Nafikiri huduma yake inatakiwa kuwa kutoa ushauri wa uandaji wa business plan. Consultancy services mara nyingi hutolewa na watu walio bobea kwenye eneo fulani. Yaani wamefanya kazi kwenye eneo hilo hadi amemobea.

Kwa mfano, nikiwa nataka kuanzisha biashara ya kuchimba madini..business plan yangu lazima ishirikishe mtu ambaye anauzoefu na anaijua hiyo biashara,siyo kinadharia bali awe ameifanya.

Ni kitaka kuanzisha shirikala ndege the same...unahitaji mtu anayejua sheria, operation n.kza mambo ya mashirika ya ndege.

Ni bahati mbaya tu unakuta watu wanaanda business plan bila kuwa na uhalisia ili tu wapeleke bank kupata mkopo. Mwisho wake ndo maana unakuta biashara zina fail.
 
Kuandaa business plan kunahitaji mambo kadhaa ikiwepo kufanya feasibility study ya soko, ushindani pamoja na gharama halisi za mf mashine n.k ili uweze kukadilia gharama za mradi kikamilifu.

Unless mleta mada unataka uwafanyie copy and paste of which hiyo haitakuwa BP bali ni uchafu fulani tu. BP ni katiba kamili ya kukuongoza kwenye biashara kutegemea aina ya biashara na mazingira binafsi ya mwenye biashara.

Nakushauri usiwadanganye watu.
 
Hakuna business plan inayokosa vyote hivyo ulivyoandika na hiyo nikazi ya mwenye wazo BIASHARA iliyopo hapa ni kuweka hivyo vyote kwenye Professional paper sikila mtu anajua kuweka ndipo napofanya Biashara na wewe.

Then kuna kazi kadhaa za kuandaa BP inategemea Goal yako nini If your targeted client you will understanda.
Kuandaa business plan kunahitaji mambo kadhaa ikiwepo kufanya feasibility study ya soko, ushindani pamoja na gharama halisi za mf mashine n.k ili uweze kukadilia gharama za mradi kikamilifu.

Unless mleta mada unataka uwafanyie copy and paste of which hiyo haitakuwa BP bali ni uchafu fulani tu. BP ni katiba kamili ya kukuongoza kwenye biashara kutegemea aina ya biashara na mazingira binafsi ya mwenye biashara.

Nakushauri usiwadanganye watu.
 
Nasisitiza unless unatengeneza trap uwaibie watu hizo 20k zao. Kama unaielewa kazi yako unapaswa kujua mahitaji ya kazi ya mteja wako kwanza, then kutathimini majukumu yako katika kufanikisha hitaji/mahitaji hayo. Ukifanya hivyo ndio utajua bei halisi ya kazi yako, na siku zote hazifanani. Unachojaribu kukifanya wewe ni kuweka bei ya bidhaa ambayo hata gharama za uzalishaji wake huujui.

Unless huelewi maana halisi ya bei ( Bei = gharama zote za uzalishaji + faida yako), huwezi ukaondoa moja then ukaiita ni bei. Halafu, non professional hawezi tafuta kila kitu huku haelewi ili akupe wewe professional upange structure/lay out ya document tu. Nakushauri, pengine unajifunza na sio MWIZI, kazi hiyo haifanywi hivyo. Usione umepata structure kwenye "business in box" ukasema hii tayari deal ya kupiga hela (maana pia unasema unatuma format kwa 10,000 hahahaaaaa).
Hakuna business plan inayokosa vyote hivyo ulivyoandika na hiyo nikazi ya mwenye wazo BIASHARA iliyopo hapa ni kuweka hivyo vyote kwenye Professional paper sikila mtu anajua kuweka ndipo napofanya Biashara na wewe.

Then kuna kazi kadhaa za kuandaa BP inategemea Goal yako nini If your targeted client you will understanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
October man,

Wewe huyu ambae ulikua unatafuta kazi ya kulipwa 250,000 kwa mwezi ndio unaweza kumuandikia CV mtu akapata kazi?hahahahah

Maajabu ya 10 ya dunia haya.
 
Weka mawasiliano yako kijana, tukupatie kazi
 
Bora ukaandike kwenye miuzi yako walokususia hakuna mchangiaji hata mmoja hadi huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na huyu ndiye mtu anaye waandikia prof. CV wanaotafuta kazi,hahahah

IMG_5904.JPG
 
Back
Top Bottom