Wenye nyumba mtuhurumie aisee

Wenye nyumba mtuhurumie aisee

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
857
Reaction score
2,289
Aisee kuna appartment hapa ziko 6 kwenye compaund, Kuna nyumba ya faza house pia. Alijenga hizi apaartment akiwa kashajenga nyumba yake tayari.

Issue inakuja hizi appartment zina tank za maji na zote zinashea mita moja na mwenye nyumba(maajabu), Ana watoto 7 na watoto 5 wana familia zao maeneo mengine huko.

Cha ajabu ni kuwa zile familia za watoto wake huwa wanakuja kufua huku wanapishana tu yaani. Bill ikija anataka igawanywe pasu.

Ukipendekeza afunge mita kila mtu anakupa notice uhame. Mfano mimi familia iko Mkoani nipo hapa kikazi na sikuihamisha kwa sababu ya watoto shule usumbufu.

Na sio mkoa wa mbali 4 hrs drive nimefika. So nakaa alone lakini inabidi nilipe bill sawa na mtu mwenye watu 10, Hilo sio tatizo kama hao watu wote wangekuwa wanakaa hapa hapa lakini sio wanatoka mtaa wa 9 wanakuja kutumia maji wanasepa wanaacha bill tu.

Inauma sana aisee.

Bill ikija inagawanywa kwa 7, sisi wapangaji na mwenye nyumba, watoto wake hawapo kwenye bill.
 
Pole Sana mkuu Suluhisho ni kujenga yako
 
Aisee kuna appartment hapa ziko 6 kwenye compaund, Kuna nyumba ya faza house pia. Alijenga hizi apaartment akiwa kashajenga nyumba yake tayari.
Issue inakuja hizi appartment zina tank za maji na zote zinashea mita moja na mwenye nyumba(maajabu), Ana watoto 7 na watoto 5 wana familia zao maeneo mengine huko. Cha ajabu ni kuwa zile familia za watoto wake huwa wanakuja kufua huku wanapishana tu yaani. Bill ikija anataka igawanywe pasu. Ukipendekeza afunge mita kila mtu anakupa notice uhame. Mfano mimi familia iko Mkoani nipo hapa kikazi na sikuihamisha kwa sababu ya watoto shule usumbufu. Na sio mkoa wa mbali 4 hrs drive nimefika. So nakaa alone lakini inabidi nilipe bill sawa na mtu mwenye watu 10, Hilo sio tatizo kama hao watu wote wangekuwa wanakaa hapa hapa lakini sio wanatoka mtaa wa 9 wanakuja kutumia maji wanasepa wanaacha bill tu.
Inauma sana aisee.
Bill ikija inagawanywa kwa 7, sisi wapangaji na mwenye nyumba, watoto wake hawapo kwenye bill.
Shughulikia uhamisho
Tafuta njia uhame
 
lipa tu itarudi kwa kuwa hakuna dhulma hailipwi utaona hela anavotumia kwa kuumwa au kwa kitu chochote ili mradi itumike irudi ilikotoka
 
Aisee kuna appartment hapa ziko 6 kwenye compaund, Kuna nyumba ya faza house pia. Alijenga hizi apaartment akiwa kashajenga nyumba yake tayari.

Issue inakuja hizi appartment zina tank za maji na zote zinashea mita moja na mwenye nyumba(maajabu), Ana watoto 7 na watoto 5 wana familia zao maeneo mengine huko.

Cha ajabu ni kuwa zile familia za watoto wake huwa wanakuja kufua huku wanapishana tu yaani. Bill ikija anataka igawanywe pasu.

Ukipendekeza afunge mita kila mtu anakupa notice uhame. Mfano mimi familia iko Mkoani nipo hapa kikazi na sikuihamisha kwa sababu ya watoto shule usumbufu.

Na sio mkoa wa mbali 4 hrs drive nimefika. So nakaa alone lakini inabidi nilipe bill sawa na mtu mwenye watu 10, Hilo sio tatizo kama hao watu wote wangekuwa wanakaa hapa hapa lakini sio wanatoka mtaa wa 9 wanakuja kutumia maji wanasepa wanaacha bill tu.

Inauma sana aisee.

Bill ikija inagawanywa kwa 7, sisi wapangaji na mwenye nyumba, watoto wake hawapo kwenye bill.
Huyo anakukumbusha upambane,ujenge Yako,uhame!
 
Aisee kuna appartment hapa ziko 6 kwenye compaund, Kuna nyumba ya faza house pia. Alijenga hizi apaartment akiwa kashajenga nyumba yake tayari.

Issue inakuja hizi appartment zina tank za maji na zote zinashea mita moja na mwenye nyumba(maajabu), Ana watoto 7 na watoto 5 wana familia zao maeneo mengine huko.

Cha ajabu ni kuwa zile familia za watoto wake huwa wanakuja kufua huku wanapishana tu yaani. Bill ikija anataka igawanywe pasu.

Ukipendekeza afunge mita kila mtu anakupa notice uhame. Mfano mimi familia iko Mkoani nipo hapa kikazi na sikuihamisha kwa sababu ya watoto shule usumbufu.

Na sio mkoa wa mbali 4 hrs drive nimefika. So nakaa alone lakini inabidi nilipe bill sawa na mtu mwenye watu 10, Hilo sio tatizo kama hao watu wote wangekuwa wanakaa hapa hapa lakini sio wanatoka mtaa wa 9 wanakuja kutumia maji wanasepa wanaacha bill tu.

Inauma sana aisee.

Bill ikija inagawanywa kwa 7, sisi wapangaji na mwenye nyumba, watoto wake hawapo kwenye bill.
hama mkuu, ndo raha ya kujenga unafanya chochote unachojisikia
 
Kama alivyosema mwenyewe "hama"hapo sio kwako au kwenu
 
Hama sheikh, nyumba ya watu sio yako hio, ama lah fuata masharti
 
Back
Top Bottom