Wenye miili laini

Wenye miili laini

lift gharama

Senior Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
107
Reaction score
66
Jamani wanajamvi salaam,

Nimeona watu tuna miili tofauti. Utakuta mwanamke au mwanaume ana mwili laini. Ukimshika mkono laiiini. Hivi hii hali ina mahusiano na uwajibikaji kwenye viwanja vya six kwa six? Kwamba huko nako ni walaini na wananepa vizuri.?

Mwenye ufahamu atushirikishe
 
Nitarudi nikishajua mwelekeo wa moshi wa kijani kule Dom
 
Jamani wanajamvi salaam;

Nimeona watu tuna miili tofauti. Utakuta mwanamke au mwanaume ana mwili laiiiini . Ukimshika mkono laiiini. Hivi hii hali ina mahusiano na uwajibikaji kwenye viwanja vya six kwa six? Kwamba huko nako ni walaini na wananepa vizur.? Mwenye ufahamu atushirikishe.
Hebu fafanua hapo kwenye red.
 
Nitarudi nikishajua mwelekeo wa moshi wa kijani kule Dom

Kati ya wajumbe 32 wa Kamati kuu wajumbe wa Nne wamekimbia lawama, waliohudhuria ni 28 tu. Kama kamati kuu itamkata mgombea wa Muhindi Muiran basi imepangwa wajumbe wa Halmashauri kuu watasusa ili akidi isitimie mchakato ukwame
 
Tangu nianze kukuona jamvini...nilibadili ID kwa ajili yako usije ukaona masihala. Nisaidie please mapenzi juu yako yasije yakanimaliza.

embu ninongoneze id yako ya zamani...
 
Back
Top Bottom