Pumbavu zao, tatizo wenye vituo vya mafuta wameiweka EWURA mfukoni
Kwa wenye mikweche kama mimi wenye kuweka lita mojamoja nawashauri mtakapoona mafuta kwenye petrol station popote tafadhali weka mafuta ya kutosha maana vituo vyote tayari wameishaanza kugomea kuuza mafuta. Nimekwenda kununu mafta kwenye petrol station moja wamesema kwamba haiwezekani kununua zaidi ya lita kumi. Na vituo vingi wamekataa au wamegoma kabisa kuuza mafuta kwamba mafta yameisha.
Mnajua nchi ina mafuta kiasi gani mpaka kuanza kutukana hivyo? Jamani hakuna mafuta kabisa na sio kwamba makampuni ya mafuta yamegoma. Muulize Bulk Procurement Coordination Company imekuwaje mafuta yanayoagizwa na makampuni yauzayo mafuta hayaletwi nchini na sio kutukana bila kuwa na data.
Wanatest ili kuona kama serikali watakuwa wapole kama walivyofanya last time. This time hakuna udhaifu tutafungia vituo vyote chezea JK..
Na wewe mwenye data badala ya kuziweka hapa watu wakaelewa unaishia kulalamika na kulaumu...hili Taifa lina matatizo gani? Mlalamikaji anajibiwa kwa kulalamikiwa...