Wenye mabasi luxury acheni wizi

Wenye mabasi luxury acheni wizi

Jaribu kukaa siti ya karibu ya hicho choo ili ujue adha yake
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Mkuu, kwani unamaanisha ulitaka uwe unakunya huku bus linatembea...😳😳
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Acha tabiya za kinyakyusa kula hovyo hovyo kama nguruwe
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Kuna siku tulikua kwenye basi lenye choo safari ya Arusha-Dar. Sasa kuna abiria akaingia toilet akatoa haja kubwa, aisee harufu ilisambaa basi zima lilinuka kama choo. Ilibidi dereva atafute chance, asimame abiria tukashuka, choo ikapigwa usafi kwanza, ikapuliziwa ma perfurme, ndo tukarudi kwa basi kuendelea na safari.
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Taja kampuni kesho niwaambie wakurudishie hela yako.
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Kwa hiyo wewe unasafiri na mavi?,Au ndio wale mnaokula sana ili hali mpo safarini.
 
Binadamu ni wachafu sana, wakiruhusu haja kubwa sijui itakuaje
 
Usiulize mtu we ingia fanya yako,kwani nani anakagua,Muhimu zingatia Usafi ukimaliza haja yako.

Nimeshapanda na watu zaidi ya wawili wameingia kufanya yao chooni na hamna shida,uoga wako mateso yako.
 
Tatizo nabishana na wajinga na wezi wasiojua maana ya choo.choo ni kwa haja zote.tulioishi ulaya tunajua maana ya choo kwamba ni haja zote.mbona kwenye ndege hakuna hizo restriction ya aina haja kubwa au ndogo kwenye usafiri.mischojua ni kwamba wenye hayo mabasi wanakwepa garama za kufanya usafi.mabas hayo hayo ya kichina hapo nairobi tu unapata huduma zote za choo.nikae najibana kula kwa faida yako ukwepe garama za usafi.

Kuanzia leo ukiingia kwenye basi lolote lenye choo wala usiulize wewe achia haja zako.wakikughasi washtaki mimi ni wakili mzoefu nitakutetea.Tanzania kuna mambo ya ovyo.mno.

Kwa hili tunaomba msimamo wa LATRA
mkuu umekaa au iliishi mitaa gani kule ulaya?
 
Sasa wewe kwanini usafiri na mavi si ungeyaacha nyumbani . Sasa kila mtu akija na mavi hilo gari litakuwa gari kweli
 
Binafsi huwa najiandaaga siku moja kabla ya safari, huwa sili ovyo kabisa

mwanzoni mwa mwezi huu nilienda Mpanda kutoka Dsm, nilitoka home saa 10 alfajiri hadi mbezi, kisha mbezi tukatoka saa 12 asubuhi na tukafika saa 7 usiku, gari lilikuwa Majinja

Nikalala siku moja kisha siku inayofuata nikarudi na Happy nation na tukafika Shekilango saa sita kasoro usiku hadi home saa 8 kasoro

Katika route hizo mbili zote, sijatoka kukojoa wala haja kubwa hata mara moja
yaani hiyo home to home ndio haja


WATU INABIDI WAJIANDAE NA SAFARI HASA KWENYE KULA NA KUNYWA, HASA HASA KUACHA KULA OVYO
 
[emoji16][emoji16][emoji16]nmechek mpka nkanya
Pole sana, sikukusudia ila mtoa mada amejidhalilisha sana. Anaringa kutaka kunya kwenye basi? Halafu anatuandikia na thread anataka tumpongeze kwa huo undezi? No way
 
Pole sana, sikukusudia ila mtoa mada amejidhalilisha sana. Anaringa kutaka kunya kwenye basi? Halafu anatuandikia na thread anataka tumpongeze kwa huo undezi? No way
[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom