Wenye mabasi luxury acheni wizi

Wenye mabasi luxury acheni wizi

Gloriamagret

Member
Joined
Jun 12, 2023
Posts
47
Reaction score
155
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
 
Kwahiyo unataka kunyakunya njia nzima?

Ukisafiri hakikisha huli vyakula zaidi ya maji, juice, biscuit na crips.

Hivi unashindwa vipi kuvumilia kula vyakula kwa masaa 8 mpaka 12?

Huduma ya mkono ndio muhimu zaidi, lakini ikitoka kwa dharura tumbo limezinguwa hivyo vyoo unatumia.

Halafu bei ya luxury siyo kwa sababu ya huduma ya vyoo Bali ni ile comfortable ya two by one na kunyoosha miguu space ni kubwa.
 
Tatizo nabishana na wajinga na wezi wasiojua maana ya choo.choo ni kwa haja zote.tulioishi ulaya tunajua maana ya choo kwamba ni haja zote.mbona kwenye ndege hakuna hizo restriction ya aina haja kubwa au ndogo kwenye usafiri.mischojua ni kwamba wenye hayo mabasi wanakwepa garama za kufanya usafi.mabas hayo hayo ya kichina hapo nairobi tu unapata huduma zote za choo.nikae najibana kula kwa faida yako ukwepe garama za usafi.

Kuanzia leo ukiingia kwenye basi lolote lenye choo wala usiulize wewe achia haja zako.wakikughasi washtaki mimi ni wakili mzoefu nitakutetea.Tanzania kuna mambo ya ovyo.mno.

Kwa hili tunaomba msimamo wa LATRA
 
Tatizo nabishana na wajinga na wezi wasiojua maana ya choo.choo ni kwa haja zote.tulioishi ulaya tunajua maana ya choo kwamba ni haja zote.mbona kwenye ndege hakuna hizo restriction ya aina haja kubwa au ndogo kwenye usafiri.mischojua ni kwamba wenye hayo mabasi wanakwepa garama za kufanya usafi.mabas hayo hayo ya kichina hapo nairobi tu unapata huduma zote za choo.nikae najibana kula kwa faida yako ukwepe garama za usafi.

Kuanzia leo ukiingia kwenye basi lolote lenye choo wala usiulize wewe achia haja zako.wakikughasi washtaki mimi ni wakili mzoefu nitakutetea.Tanzania kuna mambo ya ovyo.mno.

Kwa hili tunaomba msimamo wa LATRA
Kwan kuna shida gan,we sema unaenda kukojoa ukiingia saula kunya ama huwa mnaingia na konda chooni
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Tatizo ni baadhi ya abiria walikuwa wanatumia kinyesi kuandika ndani ya choo na dirishani.
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Umezoea kupanda basi chakavu wewe.. kuna basi hazina hata choo ila ni 45k , sababu kubwa ni usafi, uzuri, confortability etc..

Kwenda arusha kama hutaki bei za juu usipande

Kilimanjaro E series
Bm coach
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
We dogo. Ulitaka ukunye ndani ya gari?
Tabia mbaya hiyo?
 
Kwahiyo unataka kunyakunya njia nzima?

Ukisafiri hakikisha huli vyakula zaidi ya maji, juice na clips.

Hivi unashindwa vipi kuvumilia kula vyakula kwa masaa 8 mpaka 12?

Huduma ya mkono ndio muhimu zaidi, lakini ikitoka kwa dharura tumbo limezinguwa hivyo vyoo unatumia.

Halafu bei ya luxury siyo kwa sababu ya huduma ya vyoo Bali ni ile comfortable ya two by one na kunyoosha miguu space ni kubwa.
Umesema ukweli. Sema hapo kwa clips weka crisps
 
Unakwenda kukata tuketi wanakuambia bus ni luxury choo ndani. Unalipa elfu 45 badala ya 33 kwenda Moshi au Arusha, umelipaa elfu 12 zaidi ili upate huduma ya choo.

Cha ajabu unaambiwa eti ni haja ndogo tu. Kwani nini maana ya choo? Huu ni uwizi
Daaa dada kwani unahara? ...Ile ni huduma haja ndogo tu ....ukishikwa omba bus lisimame ujisitirii
 
Hahaha nimekumbuka zamani bus la metro lilikuwa na choo, lkn mnaanbiwa ni haha ndogo tuu.. tunbi kikavuruga njiani, nikaibgia kule nikaharusha sana, halafu nikatoka mkavuuuu. Sijui ilikuwaje walioofika huko yard

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom