Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ee Mungu tuepushie mbali na JK.
Kuna taarifa kuwa wamiliki wa mabango ya biashara yaliyoondolewa na kupisha uchafu wa mabango ya "Chagua Chama Cha Mafisadi, Chagua Kikwete" watafaidika na uingizaji wa bidhaa bila ushuru pindi mkwere akifanikisha njama zake za wizi wa kura na kuingia Ikulu.
Jiandaeni kwa uchumi uliofulia zaidi maana TRA watakuwa hawana cha kukusanya.
Msianze kuniuliza 'source'. Mambo mengine yako encrypted.
DR. SLAA FOR LIFE!!!
Kuna taarifa kuwa wamiliki wa mabango ya biashara yaliyoondolewa na kupisha uchafu wa mabango ya "Chagua Chama Cha Mafisadi, Chagua Kikwete" watafaidika na uingizaji wa bidhaa bila ushuru pindi mkwere akifanikisha njama zake za wizi wa kura na kuingia Ikulu.
Jiandaeni kwa uchumi uliofulia zaidi maana TRA watakuwa hawana cha kukusanya.
Msianze kuniuliza 'source'. Mambo mengine yako encrypted.
DR. SLAA FOR LIFE!!!