Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,542
- 7,450
Habari zenu wadau hapa, nimepokea simu kama mara 2 kwa namba ya tigo ni mwanamke ananielezea mambo ya tigo bima,
Natakiwa nichangie elfu 10 kwa mwaka, na maelezo yake nitalipwa mil 3 kwa janga litalonikuta ikiwa jumla ya mimi, mke na watoto,
Si jambo baya, nachotaka kujuzwa hapa hii huduma je tigo wanayo au aina fulani ya utapeli tu?
Natakiwa nichangie elfu 10 kwa mwaka, na maelezo yake nitalipwa mil 3 kwa janga litalonikuta ikiwa jumla ya mimi, mke na watoto,
Si jambo baya, nachotaka kujuzwa hapa hii huduma je tigo wanayo au aina fulani ya utapeli tu?