AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ofcourse, kama ni 2013 hiyo ni C kv C= 40-49.
kwan credit c zinajulikana ni ngapi zinatakiwa so we km umefikisha ucwaze bt km ni chenga jitie kidole
hujui unachoongea wewe, kwahiyo nyamaza. Hii hapa taarifa ya katibu mkuu wizara ya elimu.
"katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2012 baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, b = 65 – 79, c = 50 – 64, d = 35 – 49, f = 0 – 34. Kwa upande wa kidato cha sita baraza lilitumia mfumo wa a = 80 – 100; b = 75 - 79; c = 65 – 74; d = 55 – 64; e = 45 – 54; s = 40 – 44 na f = 0 – 39. Mifumo hii ya baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo." nenda hata kwenye tovuti yao utaikuta... Kwahiyo bado inathibitiha hoja yangu kwamba watu tu wavivu wa kusoma.
Unaona sasa!! Kumbe ulifanya huo mtihani... meaning bado ni mwanafunzi! Sasa ukiwa kama mwanafunzi unafahamu sheria za Baraza? Hivi wanafunzi wangapi wanadhani kwamba D zamani ilikuwa inaanzia 21 wakati ukweli ni kwamba hizo D za 21 ni grading solely done ins schools lakini Baraza tangu zamani D yao inaanzia 35! Halafu unavyosema Data zangu hazikutumika... data zangu zipi wakati nimeshakuambia hiyo ni Taarifa ambayo ilitolewa na Wizara? Halafu angalia unavyojichanganya... unasema hazijawahi kutumika halafu tena unasema walijaribu mwaka juzi ndio maana wakarudia upya!! Kwani suala la Standardization ambalo lilifanyika hiyo mwaka juzi ambayo unaita walirudia tena unadhani ni jambo geni?
All in all, nimekuambia nenda tovuti ya Wizara utakuta taarifa mzima... kwahiyo nenda ukawabishie wizara kwa sababu ndio wametoa hiyo taarifa.
unahitajika uwe na c 5 tu ndo upate chance ya kuenda form fivemkuu idadi ya credit ni ngapi?
unahitajika uwe na c 5 tu ndo upate chance ya kuenda form five
Ka una B 1 five utaenda kijanadah!mi ninazo 4
Waraka ushatumwa kwa wakuu wa shule juu ya kujiunga na masomo ya advance,sema na Mkuu wako wa shule,waraka wa kujiunga na vyuo vya ualimu nao upo kwenye website ya wizara lakini pia Kawambwa (Mzigo) ametoa tangazo lingine inasemekana form IV wenye div IV hawataenda chuo cha ualimu chochote,ila pia unaweza ukaenda wizarani kamuulize Mkurugenz wa Elimu
jaman na mimi ni miongoni mwa wanafunz hao na nina 3 ya 27 yaan mawazo hapa yamejaa kama hatutachaguliw watakua wametuonea yaan nina C 4 na B 2 Na D 1
Nashukuru kwa kejeli zako,lakini mtoa mada nilipomwelekeza hakua na majibu ya kashfa na kebehi,na mimi kuwa na divishen 5 sidhan kama ni tatizo kwako,maana haikusaidii wala kukuathiri,Wewe naye ni Kihiyo kweli, mleta uzi anazungumzia A-Level wewe unaleta habari za Mafunzo ya Ualimu ya Ualimu yanayoratibiwa na Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu (wala sio Mkurugenzi wa Elimu). Au nawe ndiyo walewale Div. 5 nini?
Aende wapi huyo mwenye 3? Kesho mnasema elimu imeshuka. Hapo unapaswa uwe mwisho wa safari. Wa 1 aende na wewe wa 3 uende? Wajameni kwanini sasa watu watafute 1 kama kila mtu ataenda? Kama hukufanya uzembe ujue kuwa uwezo wako ni mdogo. Tafuta jambo zuri la kufanya. Soma certifiate.diploma mtakutana kwenye degree.