Hata kama kuna muujiza wa kuongeza majengo na lab facility, lakini issue kubwa itakuwa staffing levels (walimu, technicians na field offier) na juu ya hilo weka usafiri wa kupeleka vijana field. Nisicho elewa onezeko kubwa hili linaongozwa na sera gani? Ukizalisha wote hawa unawapeleka wapi.
Siri ya Mwal. Nyerere University of Agriculture and Technology nafikiri anayo Ndalichako na bosi wake wengine tunashangaa tu yanayo endelea-utakuaje na chu karibia miaka 4 hakuna udahili on the ground. Chuo kile kiki kick-off kitaimsha SUA kwa kiasi fulani, lakini pia kitafika na kusaidia kilimo sehemu SUA haiwezi kufika. Kwa nchi ya kilimo SUA pekeyake haitoshi tunahitaji uwekezaji mkubwa zaidi.
Si akasome advanced diploma?
mkuu hii ina patikana wapi???Si akasome advanced diploma?
Kweli mkuu.Veta sijui kwanini watu wanaidharau.
Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Imesimamishwa kwa muda.Kuna kitu kinaitwa RPL, kinaratibiwa na TCU wao wenyewe, unafanyiwa mafunzo fulani na chuo husika yanayohusu kozi unayotaka kusoma kwa muda, kisha TCU wanakupa mtihani kupitia kile chuo, ukifaulu huo mtihani kwa viwango walivyoviweka basi unadahiliwa kuisoma hiyo kozi. Hebu jaribu kufuatilia kwenye website ya TCU kuhusu hiyo RPL utapata mwanga zaidi. (Maelezo yangu yanaweza yasiwe sahihi kwa 100% ila amini niko "relevant" katika hili).
OkayImesimamishwa kwa muda.
Na uzi wake upo hapa hapa jf juzi tu uliwekwaMwambie akasome FOUNDATION COURSE(OPEN UNIVERTY) Mwaka mmoja wa pili anasoma degree chuo chochote kile kupitia hiko cheti....
Nb,,,,,Hyo program imefunguliwa na uache ubishi.
Kaka utafungwa! COSTECH hawana masiharaVeta sijui kwanini watu wanaidharau.
Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Chuo gani?Si akasome advanced diploma?
Foundation course ya OUT ni kwa ajili ya kusoma degree pale pale OUT!Mwambie akasome FOUNDATION COURSE(OPEN UNIVERTY) Mwaka mmoja wa pili anasoma degree chuo chochote kile kupitia hiko cheti....
Nb,,,,,Hyo program imefunguliwa na uache ubishi.
Acha uongo admission capacity ya vet sio hiyoSwali dogo nje ya mada, mkuu unalizungumziaje ongezeko la udahili kwa chuo kikuu cha Sokoine hasa kwa kozi Veterinary Medicine, kwa mujibu wa admission guidebook ya TCU inaonyesha kwamba mwaka huu watadahili wanafunzi 350, vipi kuna miundombinu kweli toshelezi ?
Najua kwa namna moja au nyingine wewe ni mdau
Wenyewe WANADAI ukifaulu vyuo vingine unakuwa na vigezo. Hii sijajua in practice mambo yakoje au yatakuaje kwani huku kwetu twaweza kusema megine na kutenda vingine kabisa.Foundation course ya OUT ni kwa ajili ya kusoma degree pale pale OUT!
Acha uongo admission capacity ya vet sio hiyo
Acha uongo admission capacity ya vet sio hiyo
ftc ni ya veta au technical coleje enz hizo?Watu wengi huamini wanaosona veta ni wale waliofeli. Lakini ukweli ni kwamba ni taasisi ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa. Kiwanda kimoja kinaweza kuwa na electrical engineer mmoja lakini FTC zaidi ya mmoja.
Mm ni Bachelor degree holder. Ila nimeajiriwa kwa chet cha VETA nakula maisha Vibàya mnoooooo hadi degree yangu nilio isotea siikumbuki tena. I recommend thisNawashauri waende veta wajipatie ujuzi wowote itawasaidia mbeleni