Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Hii habari ni ya kusikitishaaa nilikuwa maeneo ya mnazi mmoja kuna ndugu yangu alimaliza chuo mwaka diploma ya electrical engineering ila GPA ana 2.9 ila kilichonisikitisha ni kwamba hawezi tena kujiendeleza na masomo ya elimu ya juu kwenda degreee hiii ni baada ya kupitia TCU .
nikajalibu kuuliza sasa inakuwaje TCU wakanijibu hawana namna ya kumshauli labda alisitiiiiii DIPLOMA YAKE TENA na kuhusu zile PRE ENTRY MAVYUONI ZIMEFUTWAAA HIVYO WAMESHIDWA KUMSAIDIA AFANYE KITU GANI.
kwaiyo hii ndio hali halisiaa kama unaangaika kutafuta chuo hali ndo hiyo
nikajalibu kuuliza sasa inakuwaje TCU wakanijibu hawana namna ya kumshauli labda alisitiiiiii DIPLOMA YAKE TENA na kuhusu zile PRE ENTRY MAVYUONI ZIMEFUTWAAA HIVYO WAMESHIDWA KUMSAIDIA AFANYE KITU GANI.
kwaiyo hii ndio hali halisiaa kama unaangaika kutafuta chuo hali ndo hiyo