- Thread starter
- #81
Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha yanasongaMi nina swali moja. Wakati ulipokua unafanya hayo matukio, ulikua unajiskiaje?
Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha yanasongaMi nina swali moja. Wakati ulipokua unafanya hayo matukio, ulikua unajiskiaje?
Wasukuma hawana spirit hiyoWewe utakuwa msukuma 100%
Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha ya
Kwa sasa vipi, unaamini kabisa kua huwezi kufanya tena tukio la ajabuBaada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha yanasonga
ChaiWale ambao tutafika mbinguni tukiwa tumechoka tukutane hapa
1,Kumnyandua mke wa mjomba tumbo moja na mama,staisahau hii dhambi,Mjomba aliniomba nimpe kampani mke wake wakati akiwa amesafiri ,saa 7 usiku nikaenda nikagonga mlango chumbani kwa mke wa mjomba,akafungua akauliza kuna nini? Sikujibu niliingia chumbani moja kwa moja na kukaa kitandani,nikamwambia njoo ukae hapa nikuonyeshe wachawi walichonifanyia usiku huu ,ile amekaa na huku amejifunga kanga moko muda huo na mimi nikiwa kwenye bukuta,alijikuta nimemlalia juu na bahati mbaya hakuwa na kyupi,baada ya purukushani za dakika kadhaa nikazamisha,baada ya kumaliza niliona aibu balaa,usiku kucha sikulala ,niliamka nikaenda kukaa sebuleni nikimuacha mwanamama akibubujikwa na machozi (Hii kitu ilileta conflicts kwenye familia acha tu)
2,kumrushia mdada vipande vya majini kisa amenikataa,hii pia ilikuwa dhambi kubwa niliyowahi kuifanya ,mdada wa watu alikuwa pisi kali nikawa natongoza hakubali,nilikasirika nilipojua msela ambaye ni rafiki yangu ametoka mkoani kuja kunisalimia ,amekaa pale kwetu ana wiki tu akakutana na mdada na kumtongoza na kumkubalia na siku anaenda kumnyandua ananishirikisha nimsaidie kutafuta ghetto niliumia sana, niliamua kwenda kwa mtaalam na kunifanikiwa kumrushia vile vipande ,Dada wa watu aliteseka na siku moja alishikwa na hao wadudu akiwa barabarani akagongwa na gari akafariki
3,Miaka 25 imepita tukiwa mgodi mmoja hapa nchini tukiwa tunasaka pesa, siku moja rafiki yangu mmoja tuliyekutana naye hapo mgodini akiwa mtafutaji nilimuomba uwenyeji katika mgodi ule na kufanikiwa kuwa mwenyeji kupitia kwake na kuwa marafiki,
Baada ya miezi kadhaa jamaa alipata jiwe akawa amepata kama milioni 2,nikawaza namna ya kumnyang'anya ile hela ,nikamwandalia mpango
Nikamwambia chukua hiyo hela twende mjini tufungue account bank uitunze,akakubali ,jioni tukaita gari la kutupeleka mjini ,tukiwa njiani nikamwambia dreva simamisha gari ,dreva akauliza kuna nini ,nikamwambia ngoja nichimbe dawa,nikaingia kichakani nikaenda nikajilaza karibia na mto na kujifanya mizimu imenipanda,
Walivyoona sirudi yule rafiki yangu akaja kuniangalia nikawa nimejilaza chini ,akaniuliza vipi umekuwaje ,nikamwambia mizimu imekataa,huyo mtu anaenda kutuuza kwa majambazi huko mbele,nenda ukachukue begi na mlipe nauli arudi ,tutafute mwingine ,jamaa akarudi kwa gari akamlipa jamaa nauli akamwambia sisi tumefika
Tulikaa pale vichakani tukiwa na ile hela kwenye begi huku nikiwaza namna ya kumnyang'anya ile hela,nilikuwa na kisu kikali muda huo nimekichomeka kwenye suruali,jamaa hana hili wala lile nilimzungukia kwa nyuma na kumchoma visu shingoni na kuanguka pale pale nikachukua lile begi la hela nikaenda mbali sana kwenye vichaka nikaficha,nikarudi kwa jamaa damu zinachuluzika balaa na mimi kupoteza ushahidi nikajichoma visu viwili kwenye paja na mkononi na damu zikawa zinatoka kwa kasi huku nikipiga mayowe ya kuomba msaada,na pale tulikokuwa watu wanakaa kaumbali kidogo ,baadae watu wawili wanaume wakawa wamefka pale nilikuwa nipo chini nachuluzika dam balaa,wakanibeba na kunisogeza barabarani ,wakambeba na mwenzangu na kumleta barabarani ,nikasikia wanasema huyu atakuwa amepoteza maisha,na mimi mwili umeanza kuishiwa nguvu na kuhisi kama kuzidiwa kwa sababu damu zinatoka kwa kasi,baada ya muda gari lilikuja na kutubeba na kutupeleka hospital,niliongezewa damu ilikuwa imepungua sana
Kesho yake nilikuwa nimepata nafuu ,nikaulizia wagonjwa wengine kuhusu mwenzangu wakasema amefariki dunia,nilisikitika kimoyo ila nikasema zile hela zimekuwa zangu
Walivyoniulizia kilichotokea nikawambia tulivamiwa na majambazi wakatuchoma visu na polisi walivyokuja nilieleza hivyo hivyo
Baada ya wiki moja nilitoka hospital nikaenda kwenye kichaka sikukuta lile begi kwenye kichaka niliumia na kuchoka sana
3,Nikawa mahusiano na binti wa miaka 14 akiwa darasa la sita,na nilitumia mbinu mbalimbali nikakanasa na kalikuwa bikira,siku moja wazazi wake walisafiri msibani akabaki yeye na mdogo wake,tukapanga fresh,usiku nikaenda kwao walilala chumbani kwa mama yao ,nikamwambia dogo akisinzia tuanze mechi akakubali
Baada ya miezi miwili dogo akanambia haoni siku zake na huwa anajihisi vibaya baada ya kula ugali dagaa,nikawaza itakuwa mimba,nikamwambia uje ukojoe kwenye kikopo uje ukiweke sehem fulani nitakuja nikichukue nikapime mimba akafanya hivyo na kweli baada ya kupeleka maabara nikaambiwa ana ujauzito. Nilishikwa na butwaa nikaona miaka 30 ile
Kwa bahati nzuri binti alikuwa na siri balaa na hakuwahi kumwambia yeyote kuhusu mahusiano yetu
Nikaandaa namna ya kumtoa mimba,nikaenda mbali huko kutafuta dawa ya kienyeji atoe mimba ,nikapata nikamseti fresh kabinti nikakutana naye katika kijiji cha mbali kidogo ili nisikutane wanaotufahamu ,nikamuingiza kwenye kichaka nikampa maelekezo kuhusu dawa,nikamwambia usiogope kunywa hiyo dawa ,ukifika nyumbani chemsha halafu kunywa vikombe 10 kisha jifanye unaumwa ingia chumbani kwako lala ,ukihisi maumivu usipige kelele ndo mimba itakuwa inatoka na bahati mbaya huwa analala na mdogo wake siku hiyo hakulala naye ,alienda kulala kwa bibi yake mji jirani
Daaaah dhambi kubwa sana dogo akafariki dunia
Vipi kuhusu dhambi zako wewe, wekeni dhambi zenu hapa
Sasa hivi nataka kutubuKwa sasa vipi, unaamini kabisa kua huwezi kufanya tena tukio la ajabu
Kanikela huyu baharia alipisema kamtupia vipande vya majini pisi kali kiss kanyimwa mbususuEbwanae, kumbe Mimi ni mtakatifu?!
Yah fanya ivyo. Mrudie mungu, tubu dhambi, ishi kwa utulivu. Usiumize tena wengine.Sasa hivi nataka kutubu
Ukimwaga damu ya mtu huwezi kupata amani hadi unakufa. Hata watu wakufichie siri Kivipi utajikuta unaropoka tu siku moja.Wale ambao tutafika mbinguni tukiwa tumechoka tukutane hapa
1,Kumnyandua mke wa mjomba tumbo moja na mama,staisahau hii dhambi,Mjomba aliniomba nimpe kampani mke wake wakati akiwa amesafiri ,saa 7 usiku nikaenda nikagonga mlango chumbani kwa mke wa mjomba,akafungua akauliza kuna nini? Sikujibu niliingia chumbani moja kwa moja na kukaa kitandani,nikamwambia njoo ukae hapa nikuonyeshe wachawi walichonifanyia usiku huu ,ile amekaa na huku amejifunga kanga moko muda huo na mimi nikiwa kwenye bukuta,alijikuta nimemlalia juu na bahati mbaya hakuwa na kyupi,baada ya purukushani za dakika kadhaa nikazamisha,baada ya kumaliza niliona aibu balaa,usiku kucha sikulala ,niliamka nikaenda kukaa sebuleni nikimuacha mwanamama akibubujikwa na machozi (Hii kitu ilileta conflicts kwenye familia acha tu)
2,kumrushia mdada vipande vya majini kisa amenikataa,hii pia ilikuwa dhambi kubwa niliyowahi kuifanya ,mdada wa watu alikuwa pisi kali nikawa natongoza hakubali,nilikasirika nilipojua msela ambaye ni rafiki yangu ametoka mkoani kuja kunisalimia ,amekaa pale kwetu ana wiki tu akakutana na mdada na kumtongoza na kumkubalia na siku anaenda kumnyandua ananishirikisha nimsaidie kutafuta ghetto niliumia sana, niliamua kwenda kwa mtaalam na kunifanikiwa kumrushia vile vipande ,Dada wa watu aliteseka na siku moja alishikwa na hao wadudu akiwa barabarani akagongwa na gari akafariki
3,Miaka 25 imepita tukiwa mgodi mmoja hapa nchini tukiwa tunasaka pesa, siku moja rafiki yangu mmoja tuliyekutana naye hapo mgodini akiwa mtafutaji nilimuomba uwenyeji katika mgodi ule na kufanikiwa kuwa mwenyeji kupitia kwake na kuwa marafiki,
Baada ya miezi kadhaa jamaa alipata jiwe akawa amepata kama milioni 2,nikawaza namna ya kumnyang'anya ile hela ,nikamwandalia mpango
Nikamwambia chukua hiyo hela twende mjini tufungue account bank uitunze,akakubali ,jioni tukaita gari la kutupeleka mjini ,tukiwa njiani nikamwambia dreva simamisha gari ,dreva akauliza kuna nini ,nikamwambia ngoja nichimbe dawa,nikaingia kichakani nikaenda nikajilaza karibia na mto na kujifanya mizimu imenipanda,
Walivyoona sirudi yule rafiki yangu akaja kuniangalia nikawa nimejilaza chini ,akaniuliza vipi umekuwaje ,nikamwambia mizimu imekataa,huyo mtu anaenda kutuuza kwa majambazi huko mbele,nenda ukachukue begi na mlipe nauli arudi ,tutafute mwingine ,jamaa akarudi kwa gari akamlipa jamaa nauli akamwambia sisi tumefika
Tulikaa pale vichakani tukiwa na ile hela kwenye begi huku nikiwaza namna ya kumnyang'anya ile hela,nilikuwa na kisu kikali muda huo nimekichomeka kwenye suruali,jamaa hana hili wala lile nilimzungukia kwa nyuma na kumchoma visu shingoni na kuanguka pale pale nikachukua lile begi la hela nikaenda mbali sana kwenye vichaka nikaficha,nikarudi kwa jamaa damu zinachuluzika balaa na mimi kupoteza ushahidi nikajichoma visu viwili kwenye paja na mkononi na damu zikawa zinatoka kwa kasi huku nikipiga mayowe ya kuomba msaada,na pale tulikokuwa watu wanakaa kaumbali kidogo ,baadae watu wawili wanaume wakawa wamefka pale nilikuwa nipo chini nachuluzika dam balaa,wakanibeba na kunisogeza barabarani ,wakambeba na mwenzangu na kumleta barabarani ,nikasikia wanasema huyu atakuwa amepoteza maisha,na mimi mwili umeanza kuishiwa nguvu na kuhisi kama kuzidiwa kwa sababu damu zinatoka kwa kasi,baada ya muda gari lilikuja na kutubeba na kutupeleka hospital,niliongezewa damu ilikuwa imepungua sana
Kesho yake nilikuwa nimepata nafuu ,nikaulizia wagonjwa wengine kuhusu mwenzangu wakasema amefariki dunia,nilisikitika kimoyo ila nikasema zile hela zimekuwa zangu
Walivyoniulizia kilichotokea nikawambia tulivamiwa na majambazi wakatuchoma visu na polisi walivyokuja nilieleza hivyo hivyo
Baada ya wiki moja nilitoka hospital nikaenda kwenye kichaka sikukuta lile begi kwenye kichaka niliumia na kuchoka sana
3,Nikawa mahusiano na binti wa miaka 14 akiwa darasa la sita,na nilitumia mbinu mbalimbali nikakanasa na kalikuwa bikira,siku moja wazazi wake walisafiri msibani akabaki yeye na mdogo wake,tukapanga fresh,usiku nikaenda kwao walilala chumbani kwa mama yao ,nikamwambia dogo akisinzia tuanze mechi akakubali
Baada ya miezi miwili dogo akanambia haoni siku zake na huwa anajihisi vibaya baada ya kula ugali dagaa,nikawaza itakuwa mimba,nikamwambia uje ukojoe kwenye kikopo uje ukiweke sehem fulani nitakuja nikichukue nikapime mimba akafanya hivyo na kweli baada ya kupeleka maabara nikaambiwa ana ujauzito. Nilishikwa na butwaa nikaona miaka 30 ile
Kwa bahati nzuri binti alikuwa na siri balaa na hakuwahi kumwambia yeyote kuhusu mahusiano yetu
Nikaandaa namna ya kumtoa mimba,nikaenda mbali huko kutafuta dawa ya kienyeji atoe mimba ,nikapata nikamseti fresh kabinti nikakutana naye katika kijiji cha mbali kidogo ili nisikutane wanaotufahamu ,nikamuingiza kwenye kichaka nikampa maelekezo kuhusu dawa,nikamwambia usiogope kunywa hiyo dawa ,ukifika nyumbani chemsha halafu kunywa vikombe 10 kisha jifanye unaumwa ingia chumbani kwako lala ,ukihisi maumivu usipige kelele ndo mimba itakuwa inatoka na bahati mbaya huwa analala na mdogo wake siku hiyo hakulala naye ,alienda kulala kwa bibi yake mji jirani
Daaaah dhambi kubwa sana dogo akafariki dunia
Vipi kuhusu dhambi zako wewe, wekeni dhambi zenu hapa
Laana ishaanza na unaona kaanza kuropoka mwenyewe. Nafsi inamsuta na ndio maana kana kusema kutafuta nafuu.Kama ni kweli siwezi kukuhukumu ila Karma sasa ndio haiwezi kukuacha na kama huna Watoto ni bora usiwe nao maana utawafanya warithi mikosi yako vizazi na vizazi.
Unapataje ujasiri wa kucheka mkuu? Mbn hakuna sehemu inayochekesha Bali ni ukatili kuanzia Stori ya Kwanza Hadi ya mwisho..Huyu jamaa ni monster Hana tofauti na hayawani wala nyama wasio na huruma,wenye ukatili wa kutisha.nimecheka sana