Wenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi - TANAPA Juma Kuji

Ni ombi muhimu, mwenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi ,,- TANAPA Juma Kuji .

Aiweke hapa !
1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA

Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.

Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.

Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.

Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
 
1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA

Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.

Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.

Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.

Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
Ametokea mkoa Gani mkuu?
 
1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA

Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.

Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.

Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.

Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.

Lengo la kuajiri mtu aliyestaafu tena kwenye potential position kama hiyo ni nini?
 
Lengo la kuajiri mtu aliyestaafu tena kwenye potential position kama hiyo ni nini?
 
1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA

Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.

Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.

Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.

Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
Hivi ni lini nchi yetu itakuwa na utaratibu wa kazi za aina hii kutangazwa ili watu wenye sifa/competence watume maombi na kushindanishwa kupitia mahojiano?? Utaratibu wa uteuzi umepitwa na wakati na unadumaza ufanisi ktk taasisi na mashirika ya umma.
 
Lengo la kuajiri mtu aliyestaafu tena kwenye potential position kama hiyo ni nini?
Kumtumia zaidi.

Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......

Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
 
Kumtumia zaidi.

Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......

Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
Watanganyika tumepigwa mkuu!

Bado Kuna wachache wanasema yule bibi hadi 2030.
 
Hivi ni lini nchi yetu itakuwa na utaratibu wa kazi za aina hii kutangazwa ili watu wenye sifa/competence watume maombi na kushindanishwa kupitia mahojiano?? Utaratibu wa uteuzi umepitwa na wakati na unadumaza ufanisi ktk taasisi na mashirika ya umma.
Hata zikitangazwa watapewa tu wengine, huko Tanapa kupata nafasi tu za chini ni kazi kubwa mno, wamejazana watoto wa mjomba

Kwanza wakimbizi wenyewe wengi na tunaambiwa wapo kwenye nafasi za maamuzi... Si mchezo
 
Kumtumia zaidi.

Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......

Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
vdj200-gntaz-C1.jpg
 
Mnaomba CV za watu ili iweje?kawaomba kazi,
Na umepewa unauliza tena katoka wapi?
Hizi si akili za kichawi hizi.
We fuata mambo yako aisee usisumbuane na maisha ya watu.
 
Kumtumia zaidi.

Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......

Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
100%
 
NiIlishangaa Manongi kustaafishwa......
Aliwasanua WB Mchengerwa alikuwa akiingilia mradi wa Regrow ikiwemo kuchepusha fedha na kuwateua wakandarasi wake wa michongo.

Alimfyetua Procurement Manager akampachika wake kutoka ofisi ya Bunge.

Akakwapua Nisssan Patrol new Model.
 
Back
Top Bottom