peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Ni ombi muhimu, mwenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi ,,- TANAPA Juma Kuji .
Aiweke hapa!
Aiweke hapa!
1.B'Com AccountingNi ombi muhimu, mwenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi ,,- TANAPA Juma Kuji .
Aiweke hapa !
Ametokea mkoa Gani mkuu?1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA
Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.
Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.
Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.
Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA
Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.
Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.
Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.
Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
Lengo la kuajiri mtu aliyestaafu tena kwenye potential position kama hiyo ni nini?
Hivi ni lini nchi yetu itakuwa na utaratibu wa kazi za aina hii kutangazwa ili watu wenye sifa/competence watume maombi na kushindanishwa kupitia mahojiano?? Utaratibu wa uteuzi umepitwa na wakati na unadumaza ufanisi ktk taasisi na mashirika ya umma.1.B'Com Accounting
2.CPA (T)
3.MBA
Alishastaafu miaka 3 iliyopita ana mkataba wa miaka 2 na TANAPA.
Kaweka pale kimkakati zaidi kwasababu wafanyakazi wenye sifa zaidi yake wapo wengi sana.
Zipo hela za WB kwaajili ya mradi wa REGROW ambazo zilimpomza CC aliyetenguliwa baada ya Mchengerwa kutaka kuzichota WB wakalalamika kwa Mama ikabidi Mchengerwa apelekwe TAMISEMI.
Huyu Kuji hana cha kupoteza kwakuwa tayati ni mstaafu.
Kumtumia zaidi.Lengo la kuajiri mtu aliyestaafu tena kwenye potential position kama hiyo ni nini?
Watanganyika tumepigwa mkuu!Kumtumia zaidi.
Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......
Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
Kwa bwana KiizaKama tukifuata vigezo muhimu nafasi ya CC ilitakiwa mtu mwenye taaluma ya uhifadhi zaidi si mtu wa mahesabu au utawala kama ilivyotokea huko Ngorongoro.
Hata zikitangazwa watapewa tu wengine, huko Tanapa kupata nafasi tu za chini ni kazi kubwa mno, wamejazana watoto wa mjombaHivi ni lini nchi yetu itakuwa na utaratibu wa kazi za aina hii kutangazwa ili watu wenye sifa/competence watume maombi na kushindanishwa kupitia mahojiano?? Utaratibu wa uteuzi umepitwa na wakati na unadumaza ufanisi ktk taasisi na mashirika ya umma.
Kumtumia zaidi.
Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......
Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
Singida.Ametokea mkoa Gani mkuu?
Wewe ni mke mwenza au umetumwaas? Muacheni afanye kazi kateuliwa na kuthibitishwa juzi tuuuu mpeni muda muacheniiiiNi ombi muhimu, mwenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi ,,- TANAPA Juma Kuji .
Aiweke hapa!
NiIlishangaa Manongi kustaafishwa......Kama tukifuata vigezo muhimu nafasi ya CC ilitakiwa mtu mwenye taaluma ya uhifadhi zaidi si mtu wa mahesabu au utawala kama ilivyotokea huko Ngorongoro.
100%Kumtumia zaidi.
Katika msafara wa yule Bwege Makonda zilikuwepo VDJ 200 5 & 300 4 za TANAPA zote zilibandikwa number plate fake kuficha uhalisia eg CCM 005 CCM 006 .......
Ndio maana nakwambia jamaa kawekwa pale kisiasa zaidi kuliko maslahi ya hifadhi zetu.
Aliwasanua WB Mchengerwa alikuwa akiingilia mradi wa Regrow ikiwemo kuchepusha fedha na kuwateua wakandarasi wake wa michongo.NiIlishangaa Manongi kustaafishwa......