GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,045
Nimekereka mno Jioni hii baada ya kuingia Baa Moja na wakati Nakula Chakula changu kaja Mmachinga Mmoja na kunisogezea Usoni mwangu karibu na Mdomo Ndaba ( Kiatu ) ili Nikinunue na nilipomwangalia nikihisi labda Kakosea na ataniomba Radhi nikashangaa Kiatu kingine Kimeshadondoka katika Sahani yangu ya Ugali, Samaki, Mchicha na Mchuzi Maji mwingi.
Kilichofuatia baada ya hapo naomba niseme tu Samahani kwa Mwenyezi Mungu na nitajitahidi Alhamisi niende katika Kitubio cha Kanisa langu Katoliki Kutubu Dhambi hiyo, ila najua na hivi kwa sasa namiliki Mkanda Mweusi wa Combat Kung Fu atajifunza na atawasimulia Nduguze na Marafiki zake kama akizinduka.
Kilichofuatia baada ya hapo naomba niseme tu Samahani kwa Mwenyezi Mungu na nitajitahidi Alhamisi niende katika Kitubio cha Kanisa langu Katoliki Kutubu Dhambi hiyo, ila najua na hivi kwa sasa namiliki Mkanda Mweusi wa Combat Kung Fu atajifunza na atawasimulia Nduguze na Marafiki zake kama akizinduka.