Ahahahahah!! Nimecheka sana kwa kukusaidia tu. apo kwenye uwanja Sahara pembeni yake kuna shule ya msingi Bugarika..ukikaa apo shuleni unaona huo mkutano.teh teh teh..pole ritz mkutano haufanyiki bugarika bali sahara katikati ya jiji tatizo ukiona chadema presha inashuka hadi zero halafu macho hayaoni vizuri
<br />Huyu Mkenya ana jipya watu wameishamchoka na porojo zake. Tena Machinga na kina Mama lishe hawataki hata kumuona.<br />
Ndio maana huo mkutano unafanyika Bugarika, kwa wale ambao hawaijui Mwanza eneo la Bugarika wanakaa wageni kutoka Kenya, Mara, Tarime, Sirali, Nyamongo, huo ndio ukweli kwa mfano Dar es Salaam kila sehemu na watu wake, maeneo ya Kisutu mpaka Posta wakaa Wahindi, Kimara Bonyokwa, Kimara Temboni, Wanakaa Wachagga
Mkuu, taratibu labda nikuulize uwanja wa Shahara upo kitongoji gani apo Mwanza?Wewe ni mpuuzi (kenge) kwani umekariri bugarika wakati mkutano uko kwenye viwanja vya sahara na ndo katikati ya jiji! Acha upotoshaji kisa umepewa hela na Nape hata jana ulidanganya kuhusu matukio ya Igunga!
Mkuu, taratibu labda nikuulize uwanja wa Shahara upo kitongoji gani apo Mwanza?
Mkuu, taratibu labda nikuulize uwanja wa Shahara upo kitongoji gani apo Mwanza?
<br />
<br />
Wewe muongo sana, mimi nipo Mwanza hapa na hakuna mkutano wowote wa Chadema unaotarajia kufanyika.
Wewe utachekwa na wenzako hata Bugarika kwenyewe upajui, ngoja nikufahamishie Bugarika ilivyo uwanja wa Sahara upo barabara ya pamba, eneo la Bugarika unachukuwa sahara yote milima yote mpaka Bugando yote hayo na maeneo ya Bugarika. Ambapo wakazi wake wengi ni Wakenya na Washashi, uwezi kukuta msukuma anakaa Bugarika..ID yako tu wewe ni Mkulya wa Shirati
NDOFU,kuna siku Ritz ulinishambulia sana huku ukijitapa kuwa wewe ni mtu mzima sasa mbona fikra zako ni ya kipuuzi sana? Umekomaa Wenje ni mkenya sasa unataka watu wote wakujue kuwa wewe ni mpuuzi kwa kiwango gani?! Haya Wenje ni mkenya,kama ndio hauoni kuwa serikali ya chama chako ndio ya kipuuzi? Kwanin imruhusu mkenya agombee ubunge? Kwakweli unajidhalilisha sana na hakika hata hao watoto wako wangekuwa wanajua upuuzi unaochangiaga humu jamvini wangekuwa wamekudharau kwa kiwango cha kutisha!
Huyu Mkenya ana jipya watu wameishamchoka na porojo zake. Tena Machinga na kina Mama lishe hawataki hata kumuona.
Ndio maana huo mkutano unafanyika Bugarika, kwa wale ambao hawaijui Mwanza eneo la Bugarika wanakaa wageni kutoka Kenya, Mara, Tarime, Sirali, Nyamongo, huo ndio ukweli kwa mfano Dar es Salaam kila sehemu na watu wake, maeneo ya Kisutu mpaka Posta wakaa Wahindi, Kimara Bonyokwa, Kimara Temboni, Wanakaa Wachagga
LATIFA.puuzi la jf ..... teh teh teh
NDOFU,
Mimi sio CCM kwanza tambua hivyo. Mimi sio mtumwa wa vyama vya siasa
<br />Huyu Mkenya ana jipya watu wameishamchoka na porojo zake. Tena Machinga na kina Mama lishe hawataki hata kumuona.<br />
Ndio maana huo mkutano unafanyika Bugarika, kwa wale ambao hawaijui Mwanza eneo la Bugarika wanakaa wageni kutoka Kenya, Mara, Tarime, Sirali, Nyamongo, huo ndio ukweli kwa mfano Dar es Salaam kila sehemu na watu wake, maeneo ya Kisutu mpaka Posta wakaa Wahindi, Kimara Bonyokwa, Kimara Temboni, Wanakaa Wachagga