Wengine wote tuliobaki siyo Raia wa Tanzania na wala hatuna vyeti halali vya shule isipokuwa Magufuli na rafiki zake

Tang Zhou

JF-Expert Member
Mar 14, 2018
1,206
2,587
Matendo ya Utawala wa Rais Magufuli yanaiumiza mno nchi...kama kiongozi wa nchi na kakikundi chake cha wapiga deal hataki watu kama Askofu Niwemungizi, Aidan Eyakuze, Maxence Melo, Onesmo Olengurumwa, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe na watu wengine WENYE AKILI wawe Raia wa Tanzania, huyu mtu anataka nchi iwe na watu wa namna gani, wenye akili ya Bashite???

Vyeti feki...yeye tu na Bashite ndo wana vyeti halali

Wafanyakazi hewa....yeye tu na Bashite ndo hawaguswi

Na sasa Uraia...yeye tu na kakikundi chake ndo Raia halali, wengine wote tuliobaki ndo Wahutu eti!!!

Magu anakwaza sana yan!
 
Mwenzenu mie mpaka leo sijaelewa kuhusu mfanyakazi hewa...inakuwaje mtu asome shule ya serikali mpaka form four halafu aende chuo cha serikali akapasi mitihani yote iliyosimamiwa na serikali yenyewe na akaajiriwa na serikali hiyohiyo halafu baadae anasemwa kuwa ni mfanyakazi hewa na si hivyo tu hata ile haki zake km PPF, NSSF etc hawajapewa mpaka kesho sijui formula ipi au sheria ipi iliyohalalisha hii kitu, mnaosikiliza Bunge naomba mnielimishe
 
Mkuu naona unamatatizo binafsi yanayokusibu sasa unatafuta wa kumpa lawama.

Deal with your own problems.
 
ALBERTO KENYA FUJIMORI A JAPANESE WHO SERVED AS THE PRESIDENT OF PERU FROM 28 JULY 1990 TO 22 NOVEMBER 2000

alberto-fujimori.jpg


According to government records, Fujimori was born on 28 July 1938, in Miraflores, a district of Lima.[28] His parents, Naoichi Fujimori (original surname Minami, adopted by a childless relative; 1897–1971) and Mutsue Inomoto Fujimori (1913–2009), were natives of Kumamoto, Japan, who migrated to Peru in 1934.[29][30]

In July 1997, the news magazine Caretas alleged that Fujimori had actually been born in Japan, in his father's hometown of Kawachi, Kumamoto Prefecture.[31]Because Peru's constitution requires the president to have been born in Peru, this would have made Fujimori ineligible to be president.[29] The magazine, which had been sued for libel by Vladimiro Montesinos seven years earlier,[32] reported that Fujimori's birth and baptismal certificates might have been altered.[31] Caretas also alleged that Fujimori's mother declared having two children when she entered Peru;[31] Fujimori is the second of four children.[33] Caretas' contentions were hotly contested in the Peruvian media; the magazine , for instance, described the allegations as "pathetic" and "a dark page for [Peruvian] journalism".[34] Latin American scholars Cynthia McClintock and Fabián Vallas note that the issue appeared to have died down among Peruvians after the Japanese government announced in 2000 that "Fujimori's parents had registered his birth in the Japanese consulate in Lima".[29]

Former President Fujimori Convicted
Fujimori.jpg

Posted on January 12, 2015
On January 8, 2015 former Peruvian President Alberto Fujimori was convicted of using over $40 million of government funds to pay off tabloid newspapers to run mud-slinging campaigns against his opponents. Fujimori, now 76, has been sentenced an additional eight years in prison, giving him 25 years for multiple counts of corruption.
 
Mwenzenu mie mpaka leo sijaelewa kuhusu mfanyakazi hewa...inakuwaje mtu asome shule ya serikali mpaka form four halafu aende chuo cha serikali akapasi mitihani yote iliyosimamiwa na serikali yenyewe na akaajiriwa na serikali hiyohiyo halafu baadae anasemwa kuwa ni mfanyakazi hewa na si hivyo tu hata ile haki zake km PPF, NSSF etc hawajapewa mpaka kesho sijui formula ipi au sheria ipi iliyohalalisha hii kitu, mnaosikiliza Bunge naomba mnielimishe
Mfanyakazi hewa ni yule ambaye alisha staafu au kufa kabisa ila mshahara wake kuna.mtu anapokea.
 
Umeona ehh!
Uvivu wake anauleta JF
Wengi wanachuki binafsi na jpm so wanaokoteza vioja na kuleta humu.Kuna watu toka uchaguz uishe 2015 hawakukubali kurudisha majeshi nyuma na ndio hawa wanakesha jf kutukana,kukejeli na kuanzisha mada za kipumbavu
 
Lakini ilivyozoeleka Tanzanian citizen #1 ni rais anayechaguliwa kuongoza nchi!

Ova
 
Mwenzenu mie mpaka leo sijaelewa kuhusu mfanyakazi hewa...inakuwaje mtu asome shule ya serikali mpaka form four halafu aende chuo cha serikali akapasi mitihani yote iliyosimamiwa na serikali yenyewe na akaajiriwa na serikali hiyohiyo halafu baadae anasemwa kuwa ni mfanyakazi hewa na si hivyo tu hata ile haki zake km PPF, NSSF etc hawajapewa mpaka kesho sijui formula ipi au sheria ipi iliyohalalisha hii kitu, mnaosikiliza Bunge naomba mnielimishe
Hujaelewa maana ya mfanyakazi hewa
 
Back
Top Bottom