MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,740
- 11,340
- Thread starter
- #41
Simpati mkuu,hapa naongelea kiasi cha msosi na kipato changu haviwiani,...ok by the way,..unamfahamu BAMDOGO KAZOA?🤔😔❗
Simpati mkuu,hapa naongelea kiasi cha msosi na kipato changu haviwiani,...ok by the way,..unamfahamu BAMDOGO KAZOA?🤔😔❗
No way, Asante 🤝Just relax and let nature take place.
You'll eat when your body rwlly need the food.
For one to die of hunger I think maybe it takes 3to 7 days, depends with someone's immunity.
Kweli kisu ikate njegere,refer to your prev postHow? Explain pls😁😁
Ameamua kula kizungu jamani😁😁Kweli kisu ikate njegere,refer to your prev post
Ceres juice ya apple ama grapes..Nina ka Vodka hapa, hivi hii pombe unaweza kuchanganya na nini ndiyo inakuwa fresh au unakunywa yenyewe, naomba kueleweshwa
Unasema kweli?Ceres juice ya apple ama grapes..
Utanishukuru baadae...Unasema kweli?
Inaweza ikawa ni ugonjwa au umasikini.Ugonile,
Ni muda sasa napitia hali ambayo binafsi sifikiri kama iko sawa.
Napata tabu sana kula milo yote mitatu, ni either niskip mlo mmoja au miwili ndo nile mwingine sababu ya kukosa appetite ya kula.
Mfano saivi nina njaa ya kufa mtu ila kila nikifikiria kitu cha kula naishiwa pozi.
Shida inaweza kuwa nini wakuu, au ni ugonjwa?
Shida itakuwa kuishiwa mapozi sababu vyakula vipo ila ukivifikiria ndo unaishiwa pozi la kuvila.Ugonile,
Ni muda sasa napitia hali ambayo binafsi sifikiri kama iko sawa.
Napata tabu sana kula milo yote mitatu, ni either niskip mlo mmoja au miwili ndo nile mwingine sababu ya kukosa appetite ya kula.
Mfano saivi nina njaa ya kufa mtu ila kila nikifikiria kitu cha kula naishiwa pozi.
Shida inaweza kuwa nini wakuu, au ni ugonjwa?
Utakua na mimbaNikiona wali nais kichefuchefu kabisa mkuu