wengine mnawezaje kula milo yote mitatu?

wengine mnawezaje kula milo yote mitatu?

Nina ka Vodka hapa, hivi hii pombe unaweza kuchanganya na nini ndiyo inakuwa fresh au unakunywa yenyewe, naomba kueleweshwa
 
wengine tunatafuta dawa tuwe kama wewe mkuu,..maana hela zote zinaishia kwenye kula na kushiba hatushibi😔😔🥲
 
wengine tunatafuta dawa tuwe kama wewe mkuu,..maana hela zote zinaishia kwenye kula na kushiba hatushibi😔😔🥲
Mimi nikiwa kama wewe ntashukuru sana mkuu, btw huwa zinaishia kwenye chakula gani maana hapa Bongo kila resta unayoingia menu zinafanana
 
1. Ukiwa na pesa ni kaiwa sana kutokusikia njaa
2. Ukiwa na chakula na kishapikwa ama unapika mwenyewe, rahisi sana kutosikia njaa.
3. Kinyuma chake, ukiwa huna hela na huna chakula njaa itakuuma kama hujala miaka 6.

Akili mtu wangu ndo mchawi.
 
1. Ukiwa na pesa ni kaiwa sana kutokusikia njaa
2. Ukiwa na chakula na kishapikwa ama unapika mwenyewe, rahisi sana kutosikia njaa.
3. Kinyuma chake, ukiwa huna hela na huna chakula njaa itakuuma kama hujala miaka 6.

Akili mtu wangu ndo mchawi.
Kwaiyo unashauri vipi apo Mama wa malavidavi, hakuna kitu kibaya kama unahisi njaa af appetite huna na pesa unayo
 
Mimi nikiwa kama wewe ntashukuru sana mkuu, btw huwa zinaishia kwenye chakula gani maana hapa Bongo kila resta unayoingia menu zinafanana
hapa naongelea kiasi cha msosi na kipato changu haviwiani,...ok by the way,..unamfahamu BAMDOGO KAZOA?🤔😔❗❗
 
Kwaiyo unashauri vipi apo Mama wa malavidavi, hakuna kitu kibaya kama unahisi njaa af appetite huna na pesa unayo

Just relax and let nature take place.

You'll eat when your body rwlly need the food.

For one to die of hunger I think maybe it takes 3to 7 days, depends with someone's immunity.
 
Back
Top Bottom